TANGAZO: Naachana rasmi na Mentor

TANGAZO: Naachana rasmi na Mentor

Paloma, vipi can we go have a drink to these news later today?

Hlafu kuna mualiko wa chicken pilau na mapochopocho mengine somaliland..with the 'butterfly' dude...
 
Last edited by a moderator:
sasa mbona nyie mmeachana...............na mie naachana banaa kam andio hivyo! kila mtu anaachana tuuuu.........why?

Unasemaje babe Paloma..? Hao wana matatizo maana kila mmoja hatosheki na kifanyio na kifanywa cha mwenzie.. Wanatamani vya wenziwao.. Mie kifanyio changu hakiwezi kufanya kazi sehemu nyingine kokote.. Nategemea na kifanywa chako hakitamani kufunguka kwa kifanywa chochote zaidi ya changu..
 
Last edited by a moderator:
imebidi nicheke tuu
Unasemaje babe Paloma..? Hao wana matatizo maana kila mmoja hatosheki na kifanyio na kifanywa cha mwenzie.. Wanatamani vya wenziwao.. Mie kifanyio changu hakiwezi kufanya kazi sehemu nyingine kokote.. Nategemea na kifanywa chako hakitamani kufunguka kwa kifanywa chochote zaidi ya changu..
 
Unasemaje babe Paloma..? Hao wana matatizo maana kila mmoja hatosheki na kifanyio na kifanywa cha mwenzie.. Wanatamani vya wenziwao.. Mie kifanyio changu hakiwezi kufanya kazi sehemu nyingine kokote.. Nategemea na kifanywa chako hakitamani kufunguka kwa kifanywa chochote zaidi ya changu..
sosoliso ninasema hadharani, nakupenda mpenzi wangu nawe wafahamu kuwa sina mwingine zaidi yako, nakupenda kweli!
 
Last edited by a moderator:
sosoliso ninasema hadharani, nakupenda mpenzi wangu nawe wafahamu kuwa sina mwingine zaidi yako, nakupenda kweli!

Hata mie babe wangu laaziz barafu ya moyo wangu Paloma.. Nakupendaje wanga na wagande kokote waliko..
 
Last edited by a moderator:
Paloma, vipi can we go have a drink to these news later today?

Hlafu kuna mualiko wa chicken pilau na mapochopocho mengine somaliland..with the 'butterfly' dude...

jamani my lovely bro Mentor nitapenda kuwepo kwa ajili ya hili!

huo mualiko.......lini tena jamani!!! niambie mapema ili nimwambie shem wako sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Paloma, vipi can we go have a drink to these news later today?

Hlafu kuna mualiko wa chicken pilau na mapochopocho mengine somaliland..with the 'butterfly' dude...

Shemeji Mentor vpi tena.. mbona unamkwaza mwenzio tena..?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Nimeshafika hatua ya kuachana naye maana sina jinsi kila mara ni vituko, vimbwenga na majanga ya kila namna nisaidieni nifanyaje?
haiwezekani shemeji yangu mentor abadilike hivi.. Babe paloma hebu njoo hapa na uniambie mbona shemeji yangu anataka kuniulia mtu hapa.. Hizi tabia za bishanga katoa wapi..?
 
Acha nichape lapa my cousin maana sina sina jinsi ninachotaka anipe divorce.jpg yangu
Mh.... mama yeleleleleeeweeeee mateso yamezidi iiiiiii.... ndoa sasa imekuwa ndoano... Pole cousin... Chapa lapa kama haelewezi lol!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom