Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Wakubwa!
Kweli mateso yakizidi wokovu umekaribia
Baada ya kuishi muda mrefu na Madame B bila ndoa,tunakusudia kubariki ndoa mnamo tarehe 20/08/2012,hii inatokana na mimi kuishi na Madame B kwa mateso ambayo kwa mara kazaa amekua akinifungia nje,baada ya vikao vya usuruhishi kufikia mwafaka,mwanandani wangu ameomba kubariki ndoa.
Hivyo basi mnaombwa wa jf wote kuhudhulia kikao kwa mara ya kwanza,kitakacho fanyika ktk jukwaa hilihili.MNAKALIBISHWA WOTE
Kweli mateso yakizidi wokovu umekaribia
Baada ya kuishi muda mrefu na Madame B bila ndoa,tunakusudia kubariki ndoa mnamo tarehe 20/08/2012,hii inatokana na mimi kuishi na Madame B kwa mateso ambayo kwa mara kazaa amekua akinifungia nje,baada ya vikao vya usuruhishi kufikia mwafaka,mwanandani wangu ameomba kubariki ndoa.
Hivyo basi mnaombwa wa jf wote kuhudhulia kikao kwa mara ya kwanza,kitakacho fanyika ktk jukwaa hilihili.MNAKALIBISHWA WOTE
Last edited by a moderator: