Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,961
- 32,234
Mi niko beneti nasubiria.
Yaani msihofu Mamndenyi na Comi,
cku hyo ni full bata kwa kwenda Mbelee.
J2 hii hii.
Nilipotea coz wakwe waliniita!
Mi niko beneti nasubiria.
omba huyu mhaya asikatize humu kutakuwa hakuna ndoa tena
dah ata siamin.. emh madame njoo haraka uokoe jahazi
Hahahaa pole kaka
Junior Cux,
we ulishantishia nyau mda mrefu.
Ukajidai kumfuata mrembo wa watu.
Kumbe mrembo mwenyewe ana mume,
mume mwenyewe alisafiri sasa karudi.
Nami nakwambia NO WAY OUT..!!!
Kama utaukubaki uwe Mume mwenza lakini kwa siri,
Karibu..!!
Japo naogopa kama ya kule Kenya.
kikao gani hakina hata beer?
Erickb52 mpe makavu Junior Cux,
maana kazoea kuchezea vyeupe hivi vyeusi vitamuweka madoa.
Ye alikisema cha nini,....!!!
we BT,
Hebu pata picha,
Mtarajiwa tu alikuwa analala na kuamkia Bar then ndo anaenda kazini,
we unategemea hko kikao kisiwe na pombe Kweli..???
We jongea.
Muziki,mc,mapambo na ukumbi naomba kuwa mwenyekiti wa kamati niwaletee complit dj sound ya denon,mziki sio wa kuunga unga,mapambo ya ukweli na mc wa ukweli. Mbwenuuuuuuuu! Iwe bojoooooo!
Ila we fujo zako usizipeleke kwa bwana Harusi kisa kakuzidi kete lol
mwenyekiti kamati ya fujo na vurugu za kushtukiza.!!! Tahadhari kwa kila atakae udhuria tusilaumiane jaman
Mimi nitakuwa mshauri nasaha wa kusuluhisha maugomvi yenyu.....................
Mambo ya mavazi ya bwana na bibi haruc me ntashugulikia, mana nina duka langu, nitawapa bure.
Mh! Kibongo bongo utoe bure??
Au una una mahusiano na mwandani wangu?
Funguka kabla cjakukamata.
Naomba uweka hazina.
Wakubwa!
Kweli mateso yakizidi wokovu umekaribia
Baada ya kuishi muda mrefu na Madame B bila ndoa,tunakusudia kubariki ndoa mnamo tarehe 20/08/2012,hii inatokana na mimi kuishi na Madame B kwa mateso ambayo kwa mara kazaa amekua akinifungia nje,baada ya vikao vya usuruhishi kufikia mwafaka,mwanandani wangu ameomba kubariki ndoa.
Hivyo basi mnaombwa wa jf wote kuhudhulia kikao kwa mara ya kwanza,kitakacho fanyika ktk jukwaa hilihili.MNAKALIBISHWA WOTE
Junior Cux,
we ulishantishia nyau mda mrefu.
Ukajidai kumfuata mrembo wa watu.
Kumbe mrembo mwenyewe ana mume,
mume mwenyewe alisafiri sasa karudi.
Nami nakwambia NO WAY OUT..!!!
Kama utaukubaki uwe Mume mwenza lakini kwa siri,
Karibu..!!
Japo naogopa kama ya kule Kenya.