Tangazo la kazi, Manispaa ya Ubungo

Tangazo la kazi, Manispaa ya Ubungo

Kazi ya kusimamia upigishaj kura niliipatia getini dk 30 baad Ya semina kuanza, maombi nilituma maombi ila nafasi niliyochaguliwa y karani sikuipenda, mwenzangu alichaguliwa msimamiz mkuu akanitonya ukumbi wanaofanyia semina mi mbio hadi kule ***** nipo smart ..kufika getini watu nyomii wanasikilizia mchongo nikamtext mwenzangu akachonga na mtu mule watu wakshabgaa naingia tu waliobaki wakabaki walioondoka wakasepa baadaee wakachukuliwa nao walifurah sana,
Kijana angalau uwe na kadi ya kijani ohoo shauri yako ...

Ll
 
Majina yanapelekwe na watendaji. Hizo barua sijui nini ni maswala ya ki itifaki tuu. Hakuna wakusoma application letter karibu elfu10 wakati watu wote wanakidhi. Kinachoangaliwa hapo ni uenyeji na tarafa husika na wenye nguvu hapo ni watendaji maana ni maeneo yao na wanajua watu wao
 
Majina yanapelekwe na watendaji. Hizo barua sijui nini ni maswala ya ki itifaki tuu. Hakuna wakusoma application letter karibu elfu10 wakati watu wote wanakidhi. Kinachoangaliwa hapo ni uenyeji na tarafa husika na wenye nguvu hapo ni watendaji maana ni maeneo yao na wanajua watu wao
Kweli kabisa barua zote zile kusoma kwa kina hata mm naona kama uongo ,temeke kulikuwa na nyomi balaa
 
Ngoja niwaibie uroto, kama haupo ktk kile chama ch kijani na kadi ipo active sahauu,kaama hujuani hata na mtendaji sahauu, unga tela na katibu wako wa vijana uwe hata na namba yake, maana wale ndo hupewa mtonyo kuwakusanya vijana wa kazi, hii inafanywa makusudi ili baadae inakuwa rahisi linapotokea suaala kuharibika,

Kila mtu anasifa
 
Ngoja niwaibie uroto, kama haupo ktk kile chama ch kijani na kadi ipo active sahauu,kaama hujuani hata na mtendaji sahauu, unga tela na katibu wako wa vijana uwe hata na namba yake, maana wale ndo hupewa mtonyo kuwakusanya vijana wa kazi, hii inafanywa makusudi ili baadae inakuwa rahisi linapotokea suaala kuharibika,

Kila mtu anasifa
Sina hakika Sana kwa hilo ulilosema, Ila mwaka 2020 niliomba nafasi ya kusimamia uchaguzi mkuu Kama msimamizi msaidizi, nilifanikiwa kupata bila ya kufahamiana na mwenyekiti wa mtaa Wala mtendaji wa kata, katika kuomba tuliandika barua tukiwa watatu tunaofahamiana, wawili tulipata mmoja alikosa, nadhani ni kumuomba Mungu tu kila kitu kinawezekana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
HALMASHAURI YA MANISPAA YA SONGEA
IMG-20220218-WA0002.jpg
IMG-20220218-WA0001.jpg
 
Vijana ambao hatuna ajira shughuli na vigezo tunavyo tupambanie kinachonisikisha ni kusikia kuna kundi la watu ambao wao wameajiriwa hasa walimu kuzitaka hizi Nafasi ..Walimu ni waajiriwa waacheni vijana wenu wajipatie kipato kupitia hizi nafasi chache na shughuli ya muda ..mnataka vijana wafanye kazi gani
 
Daah..suala la ajira nchi hii sio mchezo.

#MaendeleoHayanaChama
Sasa wiki yote hii kuna watu wana zunguka tu mtu anakaa mbagala anapeleka maombi ktk manispaa ya ubungo, Kinondoni,Jiji na Kigamboni yenyewe

Ila nahisi nafasi hizi kwa % kubwaa vijana wa chama watazinyakua ngoja tuone
 
Naomba kuuliza hili zoezi la sensa linafanyika kila mkoa na mwezi wake au likianza zoezi mwezi fulani ni nchi nzima
Babu usiniangushe bas inamaana uji jins gani na muda wakufanya data collection husaan ya pupulation
 
Jamani naomba kuuliza hili zoezi linatofautiana malipo Kwa Kila wilaya na manispaa ama maana Kuna wilaya nyingine kama kinondoni wamesema 30k kwa siku Kwa siku zote za kazi na wilaya nyingine zinasema ni tzs 450k kwa mwezi na 30k ya bundle

Napata mikanganyiko hapa
Tujuzane wanathread asanteni
Zingine wamesema elfu 15 na zoezi linafanyika siku 15
 
Huna unalolijua wewe na inaonekana hujaomba hizi kazi kwa hiyo kaa kimya ...

Unajua baada ya kutoka kwa afisa mtendaji kata unatoa copy ya barua yako ,yeye anabaki na photocopy na wewe unabaki na og unaambatanisha na vyet vyako ndio unapeleka kwa mkurugenz ? Au hujui huo mchakato .....Mimi naongea kwa experience wewe unaongea kwa kujifanya unajua kumbe hujui ....
😂😂Wewe ndo unajua basi, labda kwa mtendaji wenu ndo mnafanya huo uzwazwa
 
ndio kila watu kivyao..
Kuna tofauti kati ya siku/Uhitaji wa watu /malipo
kuna wa 30k daily
kuna wa 15k
kuna 450k Monthly
kuna wa siku 68/60/15 nk
Nadhan idadi ya siku ni kutokana na mjini / husika ilivyo kijiografia yani wingi wa watu na makazi madogo ya watu
 
Back
Top Bottom