Tangazo la ATCL linatia aibu mno!

Tangazo la ATCL linatia aibu mno!

A: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
Mie nitachagua namba 2 kama booking ni 3 au 2 weeks before lakini kama within a week au siku 4 kabla ya safari nitachagua namba 1 na namba 3 maana hao pamoja na kwamba wanaonekana wapo juu lakini kama una safari na ukafanya booking siku 3 au 4 kabla ya safari bei zao huwa zinacheza hapo hapo ikizidi ni kidogo sana na fastjet huwa juu au sawa na hizo lakini tickect yao inakuwa ni ya vigezo na masharti wakati hizo kila kitu included mpaka vinywaji na hata uki-cancel inakuwa haina kwere

Mkuu hata kama unaipenda fastjet, embu rekebisha hapo basi kwenye Dar - Mwanza angalau ungeweka saa 1 dakika 15 au dakika 30 mkuu, pia hapo kwenye Precision air kwenye bei mmmmhh
 
Matangazo ya TV za bongo yana viwango vya chini sana kwa ujumla. Kuanzia Pre-Production, Making script, Filming na Post-production inasikitisha. Ndiyo maana hata Bongo movie wanavyo zi-direct na ku-shoot zinaboa sana pia. Sijua tatizo nini, kutokuwa na ubunifu au kutojua kutumia production softwares and equipment?
 
Hv wale wafanyakazi wa ATC waliokuwa Dubai na Johannesburg bado hawajarudishwa bongo? Promotion bado wanapata?
NB:kama bado wapo huko ughaibuni warudi mara 1 na wapangiwe vituo vya kazi halmashauri za pembezoni (Rural and remote).
 
Sisi tunaopanda ndefe tumeridhika, we ambaye hata basi kupanda ni ishu unaponda
Toa ushuzi hapa na wewe. Ukweki hamtaki kuambiwa mmeng'ang'ania vitu ambvyo ni vya mwaka 47 hamjiekewi hampigi hatua halafu wa kwanza kulalamika hatuendelei. Umepanda kigoma kwenda Mwanza nawe unahesabu umepanda ndege. Kapande ndege sio hizo kites (tiara)
 
A: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
Jamani hebu mnijuze hizi ndio bei. Maana 2015 nilisafiri na Precession bei ilikuwa ya kutisha! Siitaji maana kuna wajuaji humu hawataamini!
 
vindege vyenyewe vile ni hasara tu kwa taifa na ni ufisadi binafsi wa viongozi kwa kisingizio cha kufufua shirika wkt kuna vitu vya maana vya kufufua.............
Acha life tu..
 
A: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
Vigezo na masharti kuzingatiwa: Toa FastJet
 
Nimeshuhudia tangazo la ATCL clouds t.v asubuhi hii. Niseme tu kwamba, tangazo lile ni la kiwango cha chini sana katika kila hali, kuanzia namna lilivyobuniwa hadi ghraphics zilizotumika. Yaan utafikiri ni Hussein Pamba kali anatangaza yale maduka yake ya pale Kinondoni manyanya au kule Sinza, kumbe ni Air Tanzania??!!! Hivi hawana bajeti ya matangazo, hii ni kujiaibisha, be serious!
Hata ukiangalia logo yao.....aibu tupu. Kuna some serious rebranding inahitajika
 
Nimeshuhudia tangazo la ATCL clouds t.v asubuhi hii. Niseme tu kwamba, tangazo lile ni la kiwango cha chini sana katika kila hali, kuanzia namna lilivyobuniwa hadi ghraphics zilizotumika. Yaan utafikiri ni Hussein Pamba kali anatangaza yale maduka yake ya pale Kinondoni manyanya au kule Sinza, kumbe ni Air Tanzania??!!! Hivi hawana bajeti ya matangazo, hii ni kujiaibisha, be serious!
Tangazo linatakiwe liseme 'Buy me buy me and Read me read me' Ninunue mimi,ninunue mimi pia nisome mimi, nisome mimi
 
ATCL bila kushusha nauli mtaendelea Kuokoteza wafanyakazi wa TAMISEMI Tu
 
Back
Top Bottom