Fastjet kwa kweliA: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
Fastjet kwa kweliA: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
Huu unafki.. Ushawahi pakia ata ndege wewe.!?Nimeshuhudia tangazo la ATCL clouds t.v asubuhi hii. Niseme tu kwamba, tangazo lile ni la kiwango cha chini sana katika kila hali, kuanzia namna lilivyobuniwa hadi ghraphics zilizotumika. Yaan utafikiri ni Hussein Pamba kali anatangaza yale maduka yake ya pale Kinondoni manyanya au kule Sinza, kumbe ni Air Tanzania??!!! Hivi hawana bajeti ya matangazo, hii ni kujiaibisha, be serious!
Kwahiyo kabla Fast Jet..ulikuwa unasafiri ndege gani?..acha nyodo wakati hujawahi hata kupanda ndege...Hivi kweli mtu una kwenda airport unawaaga watu unasafiri unakwenda kupanda Pangaboy?.Mimi siku nikipanda Pangaboy itabidi niandike na urithi kwa wanangu kabisa maana Mapangaboy hayaaminiki
Hujielewi wewe hangaika na buku 3 yako wewe Lumumba njaa kari hujielewi soma vzr Nimekwambia siku nikija kupanda hizo taka taka Panga boy ntaandika urithi kbs kwa wanangu sasa ndio ujiulize kabla kulikuwa na ndege gani?.mnatumika sana vijana mnatetea mpaka uozoKwahiyo kabla Fast Jet..ulikuwa unasafiri ndege gani?..acha nyodo wakati hujawahi hata kupanda ndege...
Wewe mpuuzi kweli,unadhani kila mtu ni mpenzi wa siasa,Fast jet wanatumia ndege za jet (A319)..na hawana muda miaka mingi hapa nchini,kabla yao waliokuwa wakitamba no Precision Air..ambao ndege zao zote ni pangaboi...nimekuuliza kabla FJ..ilikuwa unasafili na Airline ipi?...kama vitu hujui kaa kimya sio kufuata mkumbo..Hujielewi wewe hangaika na buku 3 yako wewe Lumumba njaa kari hujielewi soma vzr Nimekwambia siku nikija kupanda hizo taka taka Panga boy ntaandika urithi kbs kwa wanangu sasa ndio ujiulize kabla kulikuwa na ndege gani?.mnatumika sana vijana mnatetea mpaka uozo
Sijaingia siasa nilichokwambia siwezi kupanda hizo takataka sasa usinilazimishe unajuaje km naishi Tanzania au umetumwa.siwezi kupanda Mapanga boy hayoWewe mpuuzi kweli,unadhani kila mtu ni mpenzi wa siasa,Fast jet wanatumia ndege za jet (A319)..na hawana muda miaka mingi hapa nchini,kabla yao waliokuwa wakitamba no Precision Air..ambao ndege zao zote ni pangaboi...nimekuuliza kabla FJ..ilikuwa unasafili na Airline ipi?...kama vitu hujui kaa kimya sio kufuata mkumbo..
Mkuu niulizie hayo Mapangaboy ya ATCL Tabora-Dar One way ni ngapi?A: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
A: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
Uzalendo wapi!!! wakati watu wanapotezwa kila itwayo leo.Uzalendo labda mkamulize BashiteNikiangalia au kusikiliza matangazo ya ndege mfano Rwandair,KQ au Fastjet hua naihurumia ATCL. Tangazo la Atcl limekaa ovyo sana wao wanashinikiza uzalendo wakati wako kwenye biashara ya ushindani.
Badala kutaja vitu vitakavyomvutia mteja wao wanashinikiza uzalendo kwanza.
Kama hizo bei ni za kweli ,basi ATCL wana tatizo kubwaA: DAR-MWANZA (One-way) - pamoja mzigo wa 20kgs
1. ATCL = 199,000/= (2 hours & 10 mins. = 130 mins.)
2. Fastjet = 101,000/= (50 minutes)
3. Precision Air = 110,000/= (2 hours & 10 mins.)
** kama mzalendo utachagua ipi hapo?
Njoo na solution kuliko kulalamika tu.
Wewe mwenye upeo mrefu piga makofi basiwenye upeo mfupi watamkosoa mtoa post
Halafu utasikia wametumia sio chini 50m/= kwa hilo tangazo! Yale yale ya ufisadi yanarudi..Nikiangalia au kusikiliza matangazo ya ndege mfano Rwandair,KQ au Fastjet hua naihurumia ATCL. Tangazo la Atcl limekaa ovyo sana wao wanashinikiza uzalendo wakati wako kwenye biashara ya ushindani. Badala kutaja vitu vitakavyomvutia mteja wao wanashinikiza uzalendo kwanza.