Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,539
- 12,395
Wana bodi habari za jioni.
Nimebahatika kuona mara kadhaa tangazo la ATCL (Air Tanzania) mara kadhaa tangu waanze kunadi safari zao za ndani kwa ndege mpya aina ya Bombadier hasa baada ya kuanza safari za ndani.
Ukweli ni kwamba halina mvuto na halina ubunifu kabisa yaani ni baya kiasi kwamba tangazo linaweza kuwa sababu ya kukosa abiria.
Ushauri:
Kitengo cha Promotion sijui PR au Marketing ki-outsource kazi ya kutengeneza hilo tangazo au waitishe kitu kama shindano la mtu/watu/ kampuni au taasisi kwa kuandaa kitu kama audition au shindano kwa kutengeneza Tangazo na baadaye atakayetengeneza Tangazo bora linalokubalika na jopo la waamuzi apewe zawadi na awe ni balozi wa Bombadier ATCL-Tanzania
Ikumbukwe pia kupitia Tanganzo la bombadier zitangazwe icon za nchi yetu ei. Twiga, Milima Kilimanjaro etc (Jiwe moja ndege wawili)
Nafahamu wapo watanzania wengi wenye ubunifu wa kufanya hizo kazi kisasa sana hasa ukizingatia Technology ya kufanya video ipo juu sana na inawezekana.
Management ya ATCL idara ya masoko shirikisheni wadau mpate Tangazo Bora kwa biashara endelevu.
Naomba kuwasilisha
Nimebahatika kuona mara kadhaa tangazo la ATCL (Air Tanzania) mara kadhaa tangu waanze kunadi safari zao za ndani kwa ndege mpya aina ya Bombadier hasa baada ya kuanza safari za ndani.
Ukweli ni kwamba halina mvuto na halina ubunifu kabisa yaani ni baya kiasi kwamba tangazo linaweza kuwa sababu ya kukosa abiria.
Ushauri:
Kitengo cha Promotion sijui PR au Marketing ki-outsource kazi ya kutengeneza hilo tangazo au waitishe kitu kama shindano la mtu/watu/ kampuni au taasisi kwa kuandaa kitu kama audition au shindano kwa kutengeneza Tangazo na baadaye atakayetengeneza Tangazo bora linalokubalika na jopo la waamuzi apewe zawadi na awe ni balozi wa Bombadier ATCL-Tanzania
Ikumbukwe pia kupitia Tanganzo la bombadier zitangazwe icon za nchi yetu ei. Twiga, Milima Kilimanjaro etc (Jiwe moja ndege wawili)
Nafahamu wapo watanzania wengi wenye ubunifu wa kufanya hizo kazi kisasa sana hasa ukizingatia Technology ya kufanya video ipo juu sana na inawezekana.
Management ya ATCL idara ya masoko shirikisheni wadau mpate Tangazo Bora kwa biashara endelevu.
Naomba kuwasilisha