Njoo kule, kuna twisheni ya kukari pia, utajifunza hata mradi wa maandazi Kimara Juu.
Ratiba yangu ya luch itakuwa kama ifuatavyo.
Tar 12 saa saba hadi tisa mchana: Mihogo koko bichi, ntakuwa na bajaj ya grey
Tar 13 saba hadi nane mchana: Pale Chips Edo
Tar 14: Saba hadi tisa: Pale Bamboo Bar
Usiku ntakuwa nakunywa Bahama Mama Kimara au Sisimizi bar Ubungo
Am calling you now, pokea hiyo Private number
Hiyo lufha ni ya Killing me softly, shauri yako aga wote uwapendao.
Yaani mie naaga kwa bidii leo, kama PM zinaleta ujauzito ndo leo naupata.
nimiss jf sana lol!
Utamiss kipi zaidi?
jokes,siasa,chat nitamis haya majukwaa sana
najua wapo ambao 2kakutana ku fesibuku.
Soma inbox yako kwenye PM.smile dinah na wewe?
mtotowamjini kwani wamekwambia hilo ndo tatizo?Unaweza ukawa na Ip moja na baba mkwe ,,Ukimaliza kutumia laptop unamwazima baba mkwe kumbe nae ni memba wa JFwatu waache kua na multiple IDs...wanachoogopa ni nini?? au kama akianzisha ID nyingine basi ile ya zamani aifute..JF board inabidi mchunguze hili..anzeni kucheki IP za watu ili kue na only one username per IP address maana server yenu inashindwa sasa utakuta inaonyesha watu online wako 15000 kumbe actual ppo ni 8000 tu...
mtotowamjini kwani wamekwambia hilo ndo tatizo?Unaweza ukawa na Ip moja na baba mkwe ,,Ukimaliza kutumia laptop unamwazima baba mkwe kumbe nae ni memba wa JF