Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

Nadhani wanatumia CASIO , citizen ni mbovu sana na zipo feki nyingi mno kutoka china
Ahsante, huo ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?
Umepanick mzee?. Ndio nyie mnafaidika na muungano. Hakuna mahala nimekuambia walikuwa mazuzu kama unavyofikiria. Na tayari hata wewe umesema kuna jambo kubwa lenye manufaa kwa pande zote mbili “KWA WAKATI HUO”.

Hatuko nyakati hizo sasa zilizokuwa za kufikiria maadui wataingilia huko na Zanzibar kwamba ilikuwa haina nguvu kijeshi. Kifupi Kwa sasa Zanzibar wanahitaji kujitawala wenyewe sasa,hawahitaji huo muungano na Tanganyika pia hatuhitaji huo Muungano ksbb tuna uhakika unatunyonya kwa mambo mengi (nimesema kifupi).

Isitoshe Zanzibar mkiwaachie wajitawale wenyewe wangekuwa mbali sana kimaendeleo ksbb wasingekuwa tena na siasa hizi za bara za kipumbavu kuiba kura,kupitisha mtu kinguvu ambae hajachaguliwa na watu. Hayo mambo ya Jecha kufuta uchaguzi sijui,mmewafundisha nyie walafi wa madaraka kutoka bara
Wewe ndio hujui kabisaaa!! Mzee Karume aliukubali muungano huu wa hivi kwasababu za woga baada ya kufanya dhambi ya kuwachinja waarabu na mashabiki wao. Kwahiyo wewe unadhani kuwa waliochinjwa hawajaacha ndugu na jamaa zao nje na ndani ya Zanzibar, unadhani mambo yamesha kwenye mioyo yao, wewe unadhani kuwa zile sababu zilizofanya waje kuitawala Zanzibar hazipo tena. Kwa dhambi ile ya kuwachinja waarabu kama Zanzibar ikiachwa peke yao hakutakuwa na Zanzibar bali kutakuwa na Pemba na Unguja na mapigano ya kugombea mali zilizoachwa na Waarabu itazuka. Nje ya muungano hii mtagundua kuwa kumbe Zanzibar ni nchi ndogo sana isiyowatosha, mtagundua kuwa zanzibar kuna weupe na weusi, utagundua kuwa kumbe hapo unapoishi sio kwako utatakiwa aparejeshe kwa mwenyewe
 
Ahsante, huo ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?

Wewe ndio hujui kabisaaa!! Mzee Karume aliukubali muungano huu wa hivi kwasababu za woga baada ya kufanya dhambi ya kuwachinja waarabu na mashabiki wao. Kwahiyo wewe unadhani kuwa waliochinjwa hawajaacha ndugu na jamaa zao nje na ndani ya Zanzibar, unadhani mambo yamesha kwenye mioyo yao, wewe unadhani kuwa zile sababu zilizofanya waje kuitawala Zanzibar hazipo tena. Kwa dhambi ile ya kuwachinja waarabu kama Zanzibar ikiachwa peke yao hakutakuwa na Zanzibar bali kutakuwa na Pemba na Unguja na mapigano ya kugombea mali zilizoachwa na Waarabu itazuka.
Pole sana kwa uwezo wako wa kuifikiri ulipoishia.

Yaani hizo sababu za miaka hiyo za kuchinjwa waarabu ndio zitengeneze uwoga mioyoni mwa Wazanzibar mpaka leo?. Ingekuwa hivyo,hakuna taifa la Africa ambalo halijapitia madhira ya wakoloni weupe,waliwanyanyasa babu zetu,waliwatumikisha kama watumwa. Pia waliwauwa mamia kwa maelfu kwa vipindi tofauti tofauti kuringana na sababu fulani iwe vita au uonezi tu. Lakini wazungu waliotunyanyasa hawana woga huo wa kulipiziwa visasi na pia waafrica walionyanyaswa hawana habari hiyo. Hata juzi juzi sababu za uchaguzi waliuawa wengi kule. Kwamba kuna watu wanafikiria visasi?
 
Punguza hasira kwenye hili, na uelewe basi kuwa hata kule Zanzibar watu wanaofikiria kama hivyo unavyofikiria wewe wapo pia, tena sio wachache, lakini wale wanaofikiria muungano uvunjike ni wale wasiochangamkia fursa za muungano, wale wa chips mayai na urojo baasi.

Dunia yote sasa hivi inatafuta njia za kuungana kuwa wengi walioshikana sio kutengana. Unaposikia Marekani ni muungano wa nchi 51. unapo sikia Uingereza ni muungano wa nchi nchi zisizopungua 3 kama sikosei, kuna EU, nk. Tanganyika bila Zanzibar ni ngumu kuilinda kutoka upande wa baharini. Faida kubwa kupita zote Tanganyika inayopata kwenye Muungano ni kujilinda dhidi ya Alshababu, Islam State, wa Wazungu ambao tunapakana nao kwa njia ya bahari.
Then wapunguze mdomo. Tunawalisha vingi mno. Budget ya ulinzi wa state house yao tunafoot sisi, raw income at 4.5% inaenda kwao, ajira watu wapo 2% ila wanapewa 21%. NUTS WE ARE TIRED! Then hapa wanatupigia makelele.
 
Ndio nyie mnafaidika na muungano
Tueleze Tanganyika inanufaika na nini? Haya ndio mambo ya kujua na utusaidie tafadhali
Kifupi Kwa sasa Zanzibar wanahitaji kujitawala wenyewe sasa,hawahitaji huo muungano na Tanganyika pia hatuhitaji huo Muungano ksbb tuna uhakika unatunyonya kwa mambo mengi (nimesema kifupi).
Kwavile una uhakika muungano unawanyonya, eleza ni eneo au maeneo gani unadhani Zanzibar wana nonywa.
Isitoshe Zanzibar mkiwaachie wajitawale wenyewe wangekuwa mbali sana kimaendeleo ksbb wasingekuwa tena na siasa hizi za bara za kipumbavu kuiba kura,kupitisha mtu kinguvu ambae hajachaguliwa na watu. Hayo mambo ya Jecha kufuta uchaguzi sijui,mmewafundisha nyie walafi wa madaraka kutoka bara
Unazijua siasa za Zanzibar kuanzia miaka ya 1950? Unajua nini alisema A.Babu RIP mwaka 1963?
Unajua ZPP , ASP UMMA party vilikuwa na siasa gani na chaguzi za awali zilikuwaje?
 
Pole sana kwa uwezo wako wa kuifikiri ulipoishia.

Yaani hizo sababu za miaka hiyo za kuchinjwa waarabu ndio zitengeneze uwoga mioyoni mwa Wazanzibar mpaka leo?. Ingekuwa hivyo,hakuna taifa la Africa ambalo halijapitia madhira ya wakoloni weupe,waliwanyanyasa babu zetu,waliwatumikisha kama watumwa. Pia waliwauwa mamia kwa maelfu kwa vipindi tofauti tofauti kuringana na sababu fulani iwe vita au uonezi tu. Lakini wazungu waliotunyanyasa hawana woga huo wa kulipiziwa visasi na pia waafrica walionyanyaswa hawana habari hiyo. Hata juzi juzi sababu za uchaguzi waliuawa wengi kule. Kwamba kuna watu wanafikiria visasi?
Hiyo haifanani na hii ya mapinduzi ya Zanzibar. Wakoloni hawakuua watu kama vile ilivyofanyika kwenye mapinduzi ya Zanzibar. Mapinduzi Yale ni sawa na Nazi ya Adolf Hitler alivyowaua wayahudi, watoto na wajukuu wa wayahudi Wana hasira na manazi hadi kesho. Waarabu na baadhi ya wazanzibar Wana hasira juu mauaji Yale hadi kesho. Ndio maana Kuna kundi hata likishindwa uchaguzi halipewi dola kutawala. Kuna mtu alisema hatuwezi kuwapa nchi kwa vikaratasi ndani ya box la kura wakati sisi tuipata nchi kwa kuchinja watu.
 
Pole sana kwa uwezo wako wa kuifikiri ulipoishia.

Yaani hizo sababu za miaka hiyo za kuchinjwa waarabu ndio zitengeneze uwoga mioyoni mwa Wazanzibar mpaka leo?. Ingekuwa hivyo,hakuna taifa la Africa ambalo halijapitia madhira ya wakoloni weupe,waliwanyanyasa babu zetu,waliwatumikisha kama watumwa. Pia waliwauwa mamia kwa maelfu kwa vipindi tofauti tofauti kuringana na sababu fulani iwe vita au uonezi tu. Lakini wazungu waliotunyanyasa hawana woga huo wa kulipiziwa visasi na pia waafrica walionyanyaswa hawana habari hiyo. Hata juzi juzi sababu za uchaguzi waliuawa wengi kule. Kwamba kuna watu wanafikiria visasi?
Kwanini hadi Leo Rwanda na Burundi hakuko shwari kati ya watsi na wahutu? Sababu kuu wao walichinjana kama vile wazanzibar walivyochinjana, kama vile wapalestina na waisrael wanavyochinjana, kama vile wayahudi na Manazi walivyochinjana, kama vile watiglai na watawala wa Ethiopia wanavyochinjana. Katika mazingira kama hayo ugomvi na hazira hazitoki moyoni milele. Kwahiyo usijidanganye kuwa Zanzibar mambo yako shwari, sio kweli sio kweli na sio kweli. Nje ya muungano huu timbwilitimbwili litakalohatarisha hata amani ya Tanganyika linaweza kuzuka, hasa la kulipiza kisazi na kudai Mali, ardhi, majengo, misikiti, mahoteli, nk.
 
Tanganyika/Tanzania Bara na Zanzibar zina idadi tofauti la ukubwa wa eneo, idadi ya watu, mikoa, Wilaya, majimbo, bila shaka na kata, vijiji na vitongoji.

Juzi nikasikia kuwa kwa zoezi la kuweka anuani za makazi Tanganyika imepewa sh. 1billion kila mkoa na Zanzibar sh. 500,000,000 (nusu bil.) Kila mkoa.

Nikajiuliza hivi tunatumia formula gani katika kugawana fedha kati ya Tanganyika na Zanzibar?

Anaefahamu naomba anijuze tafadhali.
 
Bil 1.0 kwa mkoa wa Tanganyika haitoshi kabisa kwa zoezi la anwani za makazi: posho, kusafiri, wino, vibao, kuchimbia na kuandika anwani. Mfano mkoa wa Tanga una Wilaya za Tanga, Korogwe, Muheza, Lushoto, Handeni, Kilindi. 1 bil ukiigawia vilaya 6 kila Wilaya itapata mil 166, hela kidogo sana zisizotosha kuweka anwani hizo kwenye tarafa, kata, vijiji na vitongoji vya Wilaya nzima iliyotawanyika. Wilaya moja ya Handeni Ina tarafa 6 hivyo mil 166 ukiwagawa kwa tarafa 6 utapata sh. 27,000,000 na tarafa moja ya Magamba Ina kata 5 hivyo kupata mil 5.2 na kata moja ya Kwankonje Ina vijijini vijiji 5 na kufanya kila Kijiji kipate mil. 1 TU. Na hii ni kama viongozi wa mkoa na Wilaya, tarafa na kata hawatumia hela hii kwa usafiri na posho zao.
 
Iacheni tuu Zanzibar irudishe mamlaka yake. Wazanzibari wa diaspora na ndugu zetu wa Arabuni watatusaidia kuleta maendeleo. Machogo hamna jipya. Miaka 58 tangu mfanye uvamizi Zanzibar, mlichoweza kufanya ni kuleta umaskini na kumwaga damu za Wazanzibari. Wazanzibari wameshachoka. Nendeni mkaungane na Burundi, Zanzibar iacheni iendelee.
 
Unajua kwamba waTanganyika ni wajinga mno.Tupo kwenye ndoa ambayo haina mlingano. Unampa tu lakini yeye hakupi.

1.Wana haki ya kugombea nafasi ya kugombea nafasi yeyote ilimradi aungwe mkono. Nenda Zanzibar uone kama utachaguliwa hata ujumbe Wa nyumba kumi.

2. Wanaajiriwa popote Tanzania. Ukienda kwao ajira SMZ ni kwa ajili yao tu.

3.Wanaruhusiwa kununua ardhi huku ila kule kwao ardhi ni yao tu

4.Wanagawiwa wasichochangia.

4.Wanaweza kutoa raisi Wa Watanganyika ila sisi hatuwezi. Ninaupenda muungano ila wore tupoteze sio upande mmoja tu ndo upoteze. Tanganyika hatuna identity lakini wao wanayo.

Hii ni hatari kwaistawi wa taifa. Miaka mia moja ijayo wajukuu wetu watatulaumu sana.

Kwa mini tuungane nusu?
Hiyo namba tatu nakataa, mchungaji aliyevunjiwa kanisa alinunua eneo zanzibar wakati yeye ni mtanganyika, pia kuhusu ajira yupo mtu anaitwa jane kaajiliwa znz wakati yeye ni kutoka bara,
 
Iacheni tuu Zanzibar irudishe mamlaka yake. Wazanzibari wa diaspora na ndugu zetu wa Arabuni watatusaidia kuleta maendeleo. Machogo hamna jipya. Miaka 58 tangu mfanye uvamizi Zanzibar, mlichoweza kufanya ni kuleta umaskini na kumwaga damu za Wazanzibari. Wazanzibari wameshachoka. Nendeni mkaungane na Burundi, Zanzibar iacheni iendelee.
Eti na wewe umesema!!, Hivi unajuwa ni WA Zanzibar wangapi wako Bara? Hivi unafahamu ni WA Zanzibar wenyewe walioomba muungano huu baada ya kuwachinja waarabu?
 
Hiyo namba tatu nakataa, mchungaji aliyevunjiwa kanisa alinunua eneo zanzibar wakati yeye ni mtanganyika, pia kuhusu ajira yupo mtu anaitwa jane kaajiliwa znz wakati yeye ni kutoka bara,
mpaka ukae miaka mingapi ndo unaruhusiwa? na swali lingine kwa nini kanisa livunjwe?
 
nenda sasa hivi na ubara wako tuone kama utanunua ardhi
Mbona mm nimenunua ardhi kule Kijichi Zanzibar? Nikajenga na kukaa kama Nikiwa Zanzibar? Hebu nenda ukajaribu usifanye kuambiwa. Zalongwa mbali zatendwa mbali. Nenda pale darajani, forodhani, baharini, mahotelini, taxi drivers wanaofanya biashara huko ni watanganyika.
 
Sijakukatalia vyote. Swali language je BOT ina miliki nini Na nini? Faida yake kwa mwaka je ni tsh ngapi? Hayo ndiyo maswali yangu. Asilimia ishirini huo ni mtaji. Na je fedha zote mnazopewa tunapokopa ila Tanganyika tunalipa zimefika sh ngapi?
Mnalipa nyiynyi ki vipi? Kama ni Kodi TRA Wanakusanya kama kawaida zanzibar, Mahoteli yote ya Kitalii Zanzibar wakusanyaji Kodi ni wao. Sasa hizi kodi zetu miunazipeleka wapi?
 
Back
Top Bottom