kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Tanganyika/Tanzania Bara na Zanzibar zina idadi tofauti la ukubwa wa eneo, idadi ya watu, mikoa, Wilaya, majimbo, bila shaka na kata, vijiji na vitongoji.
Juzi nikasikia kuwa kwa zoezi la kuweka anuani za makazi Tanganyika imepewa sh. 1billion kila mkoa na Zanzibar sh. 500,000,000 (nusu bil.) Kila mkoa.
Nikajiuliza hivi tunatumia formula gani katika kugawana fedha kati ya Tanganyika na Zanzibar?
Anaefahamu naomba anijuze tafadhali.
Juzi nikasikia kuwa kwa zoezi la kuweka anuani za makazi Tanganyika imepewa sh. 1billion kila mkoa na Zanzibar sh. 500,000,000 (nusu bil.) Kila mkoa.
Nikajiuliza hivi tunatumia formula gani katika kugawana fedha kati ya Tanganyika na Zanzibar?
Anaefahamu naomba anijuze tafadhali.