Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,410
- 31,395
Unajua unachoandika?Ilipoanzishwa BOT - Pesa za Zanzibar zilizokuweko East Africa Community zilichukuliwa zikaanzishiwa hio BOT na Mpaka leo Zanzibar haipati mgawo wowote kutoka BOT- Nafikiri tungelianzia hapo na Tukaweka wazi kati ya Zanzibar na Tanganyika share zilikuwaje?
1. 4.5% ya pato la Tanganyika inakwenda Zanzibar , unafikiri inatoka wapi?
2. Pitia bajeti ya Zanzibar, subsidy zinatoka wapi ?
3. Gharama za kuendesha muungano, pesa zinatoka wapi?
4. 21% ya ajira , gharama analipa nani?
5. Wizara ya mambo ya ndani, nje , muungano nani analipa gharama?
6. Madeni ya mikopo ya Zanzibar, nani analipa?
7. Wale Wabunge Dodoma nani analipa gharama?
8. Muuliza Salimin , Karume , Shein na Mwinyi, Mishahara ya SMZ inatoka wapi
Orodha inaendelea! Hesabu zikipigwa, hiyo pesa ya Bank kuu ni kama tone la maji baharini