Tanga... jamani nasema Tangaaa

Hongera Shemeji
 
Mmmh wacha wee
 
Tanga kawaida tu mnaikuza bure

Tanga ilikuwa Zaman

Ila km wewe ni mpenz wa Haya mambo ya kangamoko na
baikoko utainjoy
Mana karibu kila siku wanaamsha msha
 
Ila kuna mitaa fulani hivi ya mkonge hotel wana wake wananunua wanaume
 
Maneno hata kwenye kanga yapo hamna lolote madoido mengi daudi basherty mtupu
 
Mkuu Uzi huu tupia kila siku humu tuchangie umenikuna haki ya mungu jamani tanga mapenzi yalishukia pale hata mwanaume uwe mkatili VP pale lazima uwe mpoleee kimsingi wanajua MAHABATI mnoooo usiambiwe mkuu "ushapikiwa kshata ya maharage" acha kabsa.
Kishata ya maharage [emoji118] [emoji15] [emoji15] ndo ikoje hiyo bwasheee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…