Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 638
- 572
Chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, uwekezaji wa takribani USD bilioni 20 unaiweka Tanga katika nafasi muhimu ya kuwa kitovu cha nishati, ukifungua fursa za ajira, kukuza biashara na viwanda, kuongeza mapato ya taifa na kuimarisha zaidi Bandari ya Tanga.