Tanga... jamani nasema Tangaaa

Ndio mambo ya tanga hayo.....
Wakalishwa kwenye kigoda korodani zawekewa kisosi zisiguse chini alafu zapakwa asali tayari kurambwa.
Aisee Tanga kuna mambo
Tanga rahaaa
Hahaaaaa kweli raha, lkn inabidi uwe na pesa mkuu
 
Wala pesi sio kigezo kivile mkuu..
Ni mapenzi mubashara....
Inabidi na wewe ujue kupiga show
Sawa mkuu lkn ukiwa na pesa yana noga zaidi kwasababu kila unachotaka ili kunogesha mapenzi unakipata
 
Numbisa kwa posts zake kama siyo mtu wa Ta bas mzaramo.
Naomba achangie hapa
 
Tanga sio mchezo wazee. Unakuta nyumba ya udongo ukiiangalia kwa nje utaona kama gofu ingia ndani sasa. Nakwambia hiyo Serena Hotel iko nyuma jinsi ndani palivyopambwa na kupendeza.
Hahaaaa watu mnamaneno jamaniii!!!! Khaaaa
 
Kuna seminar moja tulienda team ya watu 14, seminar iliisha Ijumaa, mpk Jumanne watu 8 tuliokuwa nao Tanga walikuwa bado kuripot ofisini.
Raisi wa Kenya Jomo Kenyata ashapikiwa viandazi vya shira viandazi vidogodogo vyenye sukari ila vitamu sana ukila mdomo unafanya kububujika mate. Alivyomaliza Kenyata akasema naombeni mbegu za huu Mtunda nikaupande Kenya. Watu walibaki kucheka tu wakamwambia mzee hii ni Tanga.
 
Mkuu inaonekana Tanga unaijua sana, hebu tupe mambo zaidi
 
Nimekula sana waarabu wa korogwe tanga jamani..
 
Hahahahahah huo uongo bhna
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…