Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,235
- 1,273
Juzi nilinunua maziwa ya Tanga fresh ya pakti.., nilipoyaonja nilishtuka mno..!! Yaani ladha yake ni kama maji ya kisima.., hayana taste kabisaaaa!! Na hakika kwa waliowahi kununua najua mnaelewa ninachosema. Hivi huko kiwandani hakuna watu wanao yaonja kabla ya kuingiza sokoni??! Matokeo yake tunaishia kununua maziwa toka kenya, uchumi wetu utakuwa kwa staili hii?!!