Tanga fresh mko serious kweli?

Tanga fresh mko serious kweli?

Exorcist

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
1,235
Reaction score
1,273
Juzi nilinunua maziwa ya Tanga fresh ya pakti.., nilipoyaonja nilishtuka mno..!! Yaani ladha yake ni kama maji ya kisima.., hayana taste kabisaaaa!! Na hakika kwa waliowahi kununua najua mnaelewa ninachosema. Hivi huko kiwandani hakuna watu wanao yaonja kabla ya kuingiza sokoni??! Matokeo yake tunaishia kununua maziwa toka kenya, uchumi wetu utakuwa kwa staili hii?!!
 
Huku tabata mkuu.., inawezekana wameshakuzoeza quality mbovu kiasi kwamba hujui good quality milk ikoje. Onja brookside then rudi hapa useme..
 
Ni mala ya kwanza unakunywa hayo maziwa na je, expiry date yake ilkkua haijafika? Maana mimi pia hua nakunywa sana hayo maziwa na nayapenda sana ladha yake
 
Juzi nilinunua maziwa ya Tanga fresh ya pakti.., nilipoyaonja nilishtuka mno..!! Yaani ladha yake ni kama maji ya kisima.., hayana taste kabisaaaa!! Na hakika kwa waliowahi kununua najua mnaelewa ninachosema. Hivi huko kiwandani hakuna watu wanao yaonja kabla ya kuingiza sokoni??! Matokeo yake tunaishia kununua maziwa toka kenya, uchumi wetu utakuwa kwa staili hii?!!

Uliangalia Expiring date Lakini?
 
Yalikuwa hayaja expire.., na hii ni mara ya pili.., hata mara ya kwanza yalikuwa hivi hivi.., nikafikiri watakuwa wame improve..lakini wapi.., em' kunyweni brooklyn afu ndio mje kuongea hapa..
 
Sina tatizo na hayo maziwa, naendelea tu kukamua bidhaa ya ndani ya nchi yetu. Usiwahi kugeneralize mkuu, huenda tatizo likawa ni ulimi wako pia. Mimi tanga fresh, mtindi vyote poa tu na sijawahi ona tofauti. Kama vipi jaribu tena ndugu yangu, sehemu mbalimbali. Utapata uhakika wa hilo tatizo soon
 
Yalikuwa hayaja expire.., na hii ni mara ya pili.., hata mara ya kwanza yalikuwa hivi hivi.., nikafikiri watakuwa wame improve..lakini wapi.., em' kunyweni brooklyn afu ndio mje kuongea hapa..

mi mwenyewe nimeshaexpirience hicho kitu nadhani hawa wanaobisha either ni kwa their personal interest au hawakuyanywa wakati uleeee wa Tanga fresh ya ukweli
 
Tatizo lenu mnanunua vitu bila kuangalia matumizi yake kama yamepita. Mnanunua na kugegeda tu.

Bidhaa ikihisha muda wake siyo tatizo la kiwanda bali muuzaji na mnunuaji ndio wazembe
 
Yalikuwa hayaja expire.., na hii ni mara ya pili.., hata mara ya kwanza yalikuwa hivi hivi.., nikafikiri watakuwa wame improve..lakini wapi.., em' kunyweni brooklyn afu ndio mje kuongea hapa..

Utumwa kazi sana yanaitwaje hayo maziwa ulitumwa kuyatangaza!!!????
 
usiwe una-promote maziwa hayo brooklyn, mbona wewe tu ndo unayalalamikia? jaribu kununua toka kwa muuzaji mwingine wa hayo maziwa!
 
Unaweza ukaja na ngonjera za kuilalamikia Tanga Fresh kumbe tatizo lilikuwa kwenye kinywa chako mwenyewe...

Huenda ulikula au kutafuna vitu vingine kabla kiasi ukafanya mchanyato wa ladha tofauti tofauti
 
nakunywa sana Tanga Fresh..sijawahi kukutana na kitu kama hicho
 
Juzi nilinunua maziwa ya Tanga fresh ya pakti.., nilipoyaonja nilishtuka mno..!! Yaani ladha yake ni kama maji ya kisima.., hayana taste kabisaaaa!! Na hakika kwa waliowahi kununua najua mnaelewa ninachosema. Hivi huko kiwandani hakuna watu wanao yaonja kabla ya kuingiza sokoni??! Matokeo yake tunaishia kununua maziwa toka kenya, uchumi wetu utakuwa kwa staili hii?!!

Nilifanya field yangu pale tanga fresh, kwa ufupi maziwa huangaliwa ubora kutoka kwa mfugaji mmoja mmoja kwenye vituo tofauti vya kupokelea maziwa, halafu hata madereve wa magari ya kupokelea maziwa nao wamefundishwa jinsi ya kupokea maziwa yenye ubora, yakifika kiwandani hayapokelewi bila kuangalia viwango vya ubora ambavyo vinakubalika, Then hupokelewa kiwandani kama yanakidhi ubora.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom