Tanga fresh mko serious kweli?

Tanga fresh mko serious kweli?

Yalikuwa hayaja expire.., na hii ni mara ya pili.., hata mara ya kwanza yalikuwa hivi hivi.., nikafikiri watakuwa wame improve..lakini wapi.., em' kunyweni brooklyn afu ndio mje kuongea hapa..

ni kweli mkuu nami nipo tabata na nina uzoefu wamiaka mingi na maziwa. hayani maji hata ladha ya u skim hakuna. lazima huku kuna kamchezo kanafanywa
 
Huku tabata mkuu.., inawezekana wameshakuzoeza quality mbovu kiasi kwamba hujui good quality milk ikoje. Onja brookside then rudi hapa useme..
Mkuu hapo kwenye red ndo kuna shida, kifupi ni kuwa unaitangaza biashara yako na mpinzani wako unahisi ni Tanga Fresh. Ungekuja na sifa za product yako (brookside) na siyo hivi ulivyokuja.
 
Mapana sokoni karibu na kanisa au??

aaah hufiki kule ukishuka kituo cha majan mapama unaingia kwenye kiuchochoro flan utatokea kwenye uwanja una mti wa muembe mkubwa tu! ndo hapo nnapoishia bibi
 
nakunywa sana Tanga Fresh..sijawahi kukutana na kitu kama hicho

Mhh! mm mwenyewe nahsanga hilo mana nimekunywa maziwa hayo hayo muda c mrefu, na kila cku najitahidi kunywa, hili la ubora naona kama too personal, ama expired product. Vitu kama maziwa viko na shelf life fupi sana ivo ni rahisi kuuziwa wakati muda umepita.

kosa la mleta uzi ni kuanza kupromote product nyingine, kwa kuzitaja majina. Naona uko na ubia na kina Raila
 
HITIMISHO: Kutokana na maelezo uliyoleta mtoa mada na maoni ya wachangiaji wengi humu, Imethibitika kuwa maziwa ya TANGA FRESH ni salama kwa afya za watumiaji na yana ubora unaotakikana.

CASE CLOSED.
 
Mimi hayo maziwa ni mpenzi sana ila niliuziwa maziwa mabovu kwenye duka lao la changombe asubuhi yake nikayarudisha Hawako makini
 
ni kweli mkuu nami nipo tabata na nina uzoefu wamiaka mingi na maziwa. hayani maji hata ladha ya u skim hakuna. lazima huku kuna kamchezo kanafanywa
Hivi inawezekana huku tabata kuna kiwanda bubu cha kuchakachua hay a maziwa nini..?
 
mbona hapa kuna kamchezo KAKUHARIBIANA biashara moja na KUTANGAZA nyingine
 
Back
Top Bottom