Hiyo ladha ya tui la nazi ndio inanikera kabisa.., nimejaribu kumpa paka wangu ndio akanywa kwa shida sana. Mimi sio nafagilia mtu hapa.., ila tanga fresh mjifunze kutoka kwa wenzenzenu na mboreshe ladha ya maziwa.
TFDA mko wapi? naamin haya sio maziwa haris zitakuwa, kemikal za maabara