Utumwa kazi sana yanaitwaje hayo maziwa ulitumwa kuyatangaza!!!????
Vizuri.., fafanua zaidi waelewe..
Dadavua kiundani waweze kuelewa..
Yalikuwa hayaja expire.., na hii ni mara ya pili.., hata mara ya kwanza yalikuwa hivi hivi.., nikafikiri watakuwa wame improve..lakini wapi.., em' kunyweni brooklyn afu ndio mje kuongea hapa..
Juzi nilinunua maziwa ya Tanga fresh ya pakti.., nilipoyaonja nilishtuka mno..!! Yaani ladha yake ni kama maji ya kisima.., hayana taste kabisaaaa!! Na hakika kwa waliowahi kununua najua mnaelewa ninachosema. Hivi huko kiwandani hakuna watu wanao yaonja kabla ya kuingiza sokoni??! Matokeo yake tunaishia kununua maziwa toka kenya, uchumi wetu utakuwa kwa staili hii?!!
Hiyo ladha ya tui la nazi ndio inanikera kabisa.., nimejaribu kumpa paka wangu ndio akanywa kwa shida sana. Mimi sio nafagilia mtu hapa.., ila tanga fresh mjifunze kutoka kwa wenzenzenu na mboreshe ladha ya maziwa.yale maziwa hayafai hata mimi juzi nimenunua,moro super market nilishangazwa na radha yake kama tui la nazi:A S confused:
Hiyo ladha ya tui la nazi ndio inanikera kabisa.., nimejaribu kumpa paka wangu ndio akanywa kwa shida sana. Mimi sio nafagilia mtu hapa.., ila tanga fresh mjifunze kutoka kwa wenzenzenu na mboreshe ladha ya maziwa.