Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Jasusi, Ndahani, Ame, Maundumula,
..hivi mnaichukuliaje hii kauli ya Prof.Muhongo kuhusu wizara ya fedha.
..je, waziri wa nishati ya madini anayo mamlaka ya kuzuia fedha zinazotokana na mapato ya gesi na mafuta zisiwasilishwe HAZINA??
..nina wasiwasi Prof.Muhongo anaweza kuingia ktk malumbano na Waziri wa Fedha.
NB:
..hapo bado Dr.Magufuli hajaanza kushinikiza kubomoa jengo la makao makuu ya Tanesco!!
Waliomzunguka ndio watamsumbua zaidi kuliko anavyodhani ingawa inawezekana ana nia ya kuonyesha yeye ni tofauti.