JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Kiona, kajembe, Ndahani Jasusi, MR.PRESIDENT,
..kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kidogo tunapendelea zaidi kuona matokeo, na siyo AHADI au NIA NJEMA.
..Mwaka 1994 nikiwa naive kama baadhi yenu nilivutiwa sana na hotuba ya bajeti ya Basil Mramba. Nilivutiwa kwasababu alikwenda bungeni akafoka sana kwamba Tanzania tunafuja fedha zetu kwa kuagiza vitu visivyo na maana. Mramba alikwenda mbali mpaka kutoa nyoka wa plastic ktk mkoba wake na huku akiwanyooshea wabunge kwamba badala ya ku-import vitu vya maana like machinery, tuna-import toys!!
..Sote tu mashahidi ya jinsi Mramba alivyobadilika na kuwa kitu kingine kabisa. Ndiyo maana nawaambia subirini kwanza mpaka muone kama atabadili hiyo mikataba, then we can celebrate.
..kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kidogo tunapendelea zaidi kuona matokeo, na siyo AHADI au NIA NJEMA.
..Mwaka 1994 nikiwa naive kama baadhi yenu nilivutiwa sana na hotuba ya bajeti ya Basil Mramba. Nilivutiwa kwasababu alikwenda bungeni akafoka sana kwamba Tanzania tunafuja fedha zetu kwa kuagiza vitu visivyo na maana. Mramba alikwenda mbali mpaka kutoa nyoka wa plastic ktk mkoba wake na huku akiwanyooshea wabunge kwamba badala ya ku-import vitu vya maana like machinery, tuna-import toys!!
..Sote tu mashahidi ya jinsi Mramba alivyobadilika na kuwa kitu kingine kabisa. Ndiyo maana nawaambia subirini kwanza mpaka muone kama atabadili hiyo mikataba, then we can celebrate.