Tanesco yazidi kubanwa; Waziri Muhongo asema kesi Tanesco ni ‘ulaji’ tu; lina Kesi 200 zisizoisha

Kiona, kajembe, Ndahani Jasusi, MR.PRESIDENT,

..kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kidogo tunapendelea zaidi kuona matokeo, na siyo AHADI au NIA NJEMA.

..Mwaka 1994 nikiwa naive kama baadhi yenu nilivutiwa sana na hotuba ya bajeti ya Basil Mramba. Nilivutiwa kwasababu alikwenda bungeni akafoka sana kwamba Tanzania tunafuja fedha zetu kwa kuagiza vitu visivyo na maana. Mramba alikwenda mbali mpaka kutoa nyoka wa plastic ktk mkoba wake na huku akiwanyooshea wabunge kwamba badala ya ku-import vitu vya maana like machinery, tuna-import toys!!

..Sote tu mashahidi ya jinsi Mramba alivyobadilika na kuwa kitu kingine kabisa. Ndiyo maana nawaambia subirini kwanza mpaka muone kama atabadili hiyo mikataba, then we can celebrate.
 
Kusema kweli toka ameajiriwa huyu Waziri Muhongo nimeona kwa mara ya kwanza kiongozi mwenye Uzalendo na pengine sign ya leadership. lakini pia wapo kina Mrema wengi tu nchini hivyo tusubiri tuyaone matunda yake maana ni vigumu sana kuamini mtu mmoja ktk kundi la Chukua Chako Mapema anaweza kushindana na nguvu ya kiza...
 
Kiona, kajembe, Ndahani Jasusi, MR.PRESIDENT,

..kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kidogo tunapendelea zaidi kuona matokeo, na siyo AHADI au NIA NJEMA.

..Mwaka 1994 nikiwa naive kama baadhi yenu nilivutiwa sana na hotuba ya bajeti ya Basil Mramba. Nilivutiwa kwasababu alikwenda bungeni akafoka sana kwamba Tanzania tunafuja fedha zetu kwa kuagiza vitu visivyo na maana. Mramba alikwenda mbali mpaka kutoa nyoka wa plastic ktk mkoba wake na huku akiwanyooshea wabunge kwamba badala ya ku-import vitu vya maana like machinery, tuna-import toys!!

..Sote tu mashahidi ya jinsi Mramba alivyobadilika na kuwa kitu kingine kabisa. Ndiyo maana nawaambia subirini kwanza mpaka muone kama atabadili hiyo mikataba, na then we can celebrate.

JokaKuu, under heat and pressure a substance might undergo changes from one state to another....ndio maana wanasema jungu kuu halikosi ukoko.1994 I was struggling kula bondo ili nisome na kuelewa masomo yale yaliyokuwa yananipeleka puta kweli kweli
 
Kiona, kajembe, Ndahani Jasusi, MR.PRESIDENT,

..kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kidogo tunapendelea zaidi kuona matokeo, na siyo AHADI au NIA NJEMA.

..Mwaka 1994 nikiwa naive kama baadhi yenu nilivutiwa sana na hotuba ya bajeti ya Basil Mramba. Nilivutiwa kwasababu alikwenda bungeni akafoka sana kwamba Tanzania tunafuja fedha zetu kwa kuagiza vitu visivyo na maana. Mramba alikwenda mbali mpaka kutoa nyoka wa plastic ktk mkoba wake na huku akiwanyooshea wabunge kwamba badala ya ku-import vitu vya maana like machinery, tuna-import toys!!

..Sote tu mashahidi ya jinsi Mramba alivyobadilika na kuwa kitu kingine kabisa. Ndiyo maana nawaambia subirini kwanza mpaka muone kama atabadili hiyo mikataba, na then we can celebrate.

jokaKuu,
Calibre ya Muhongo ni ya nadra sana. Mramba mbona wengine tulishamshtukia siku nyingi? Mramba hakubadilika, alikuwa anaonyesha his true colours. Actually mimi nilishangaa Mramba kuchaguliwa kuwa waziri wa fedha.
 
jokaKuu,
Calibre ya Muhongo ni ya nadra sana. Mramba mbona wengine tulishamshtukia siku nyingi? Mramba hakubadilika, alikuwa anaonyesha his true colours. Actually mimi nilishangaa Mramba kuchaguliwa kuwa waziri wa fedha.

My only worry ni kwamba sijui kama anajua anazungukwa na watu vigeugeu kiasi gani. Hao wanaosaini na kuruhusu wizi na upotevu wa mali za watanzania wengine ndio wakubwa zake.
 
Wewe humfahamu Muhongo. Huyu ni calibre ya Julius Nyerere. Hawezi kukubali hongo ya Manji au yeyote yule.
Kuna hii fact au statement ambayo wengi wetu hatui-take into consideration when making any judgement, political or otherwise: power corrupts. Sasa, Can Muhongo or whatever his name is stand the test of time? On balance, What has he done to be equated to the caliber of such benevolent human being as Julius Nyerere???
 
Kuna hii fact au statement ambayo wengi wetu hatui-take into consideration when making any judgement, political or otherwise: power corrupts. Sasa, Can Muhongo or whatever his name is stand the test of time? On balance, What has he done to be equated to the caliber of such benevolent human being as Julius Nyerere???
I am speaking because I have had the luck of knowing both the benevolent Julius Nyerere and Dr. Muhongo. It is true that power corrupts, but I believe we have individuals who have been able to withstand the temptations of power. And I believe Muhongo belongs to this group.
 
Prof big up komaa mpaka kieleweke hao wanaokupinga wana yao na wananufaika na ngawila za mafisadi
Ukiona wanakuletea zengwe kwenye utekelzaji wa yale unayoamini nimkwa manufaa ya nchi piga chini uwaziri kulinda heshima yako
 
Kiona, kajembe, Ndahani Jasusi, MR.PRESIDENT,

..kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kidogo tunapendelea zaidi kuona matokeo, na siyo AHADI au NIA NJEMA.

..Mwaka 1994 nikiwa naive kama baadhi yenu nilivutiwa sana na hotuba ya bajeti ya Basil Mramba. Nilivutiwa kwasababu alikwenda bungeni akafoka sana kwamba Tanzania tunafuja fedha zetu kwa kuagiza vitu visivyo na maana. Mramba alikwenda mbali mpaka kutoa nyoka wa plastic ktk mkoba wake na huku akiwanyooshea wabunge kwamba badala ya ku-import vitu vya maana like machinery, tuna-import toys!!

..Sote tu mashahidi ya jinsi Mramba alivyobadilika na kuwa kitu kingine kabisa. Ndiyo maana nawaambia subirini kwanza mpaka muone kama atabadili hiyo mikataba, then we can celebrate.
asante kwa kuona mbali zaidi ya wengine. nimefarijika kusoma kwamba siyo kila mmoja ana-buy hiyo generalization ya hawa vijana humu JF. Bahati mbaya button ya like siioni hapa. well done!!
 
Nyie toeni na imbeni sifa mpaka mate yawakauke! Prof..Prof..Prof..
Serikali ya Mshkaji Dhaifu haiwezi kuwa na waziri bora hata siku moja!
Hizo ni nguvu za soda tu, tumpe muda nina uhakika atakuja kula matapishi yake muda si mrefu
Kichwa (ubongo) kikiwa dhaifu kila kiungo kinadhoofu (sayansi ya chekechea hii jamani)
 
I am speaking because I have had the luck of knowing both the benevolent Julius Nyerere and Dr. Muhongo. It is true that power corrupts, but I believe we have individuals who have been able to withstand the temptations of power. And I believe Muhongo belongs to this group.

I know little about this prof; but had stayed (studied) with one of his student ambaye kwakweli ni mzalendo na kama yy alikuwa anamwamini prof. kiasi cha kunisadikisha I do believe ndege wenye mbawa zinazofanana wanaruka level moja!
 
Natamani kujua under what circumstance prof. Muhongo alikubali huo uwaziri. And here comes my IFF....

Kama ni sehemu ya self actualization basi tusubiri mazuri maana atakuwa analinda hadhi na sifa aliyojijengea both national and internationally....

Kama aliombwa na yeye alitaka kupata platform ya kurudi nyumbani ili akazeeke na kufaidi matunda huku akiendelea kuweka investment zake (fixed assets) huku akiendelea kupata subsistence allowance ambao haitapunguza what he already accumulated basi hapo atafanya rational decision kupima upepo what's the better-of decision; kuendelea kuwa bana ama ku-operate under safe minimum standards kwamba asichafue CV lakini pia asihangaike sana na the past bali afocus kwenye goals and mission zake za sasa. Hii itapunguza confrotation na kusaidia kutokuendelea ufisadi kwa kasi ya kwanza lakini impact yake itakuwa insignificant kwenye general collective action rsponsibility.....Nahivyo atakuwa kama kina Magufuli; Mwakyembes etc....

Kama aliombwa naye katika calculations zake akagundua uwaziri unalipa kuliko (baada ya ku-discount future) kama ataendelea kwa mwendo aliokuwa anakwenda nao hadi kujenga CV yake basi hapo temptations ziko mbele yake na wajuzi hawakawi kumtupia ndoana ili kumnasa ili wamnyamazishe na wao waendelee na status quo...And for this case we and him are in for it!

All in all he has a free will to choose na hakuna wakumlazimisha hata Mungu aliyemuumba hawezi!
 
I have one reservation wakati huu.....Kuna my young brother aliomba kazi na utumishi walimfanyia interview. Kwajinsi alivyonieleza basi serikali imebadilika sana maana kama kawaida yetu we dont go for mjomba shangazi so nobody bothered kumsaidia alipambana mwenyewe akawa wakwanza kwenye interview zote mbili....Aliniambia na matokeo yalitangazwa kwenye website!

Kama kweli ndivyo ilivyo basi naomba niwe wakwanza kuwapongeza serikali kwasababu niliadhimia kufanya experiment kwa huyu young brother maana najua anajiweza kupita maelezo. So bado kuna watu bado wana credibility zao wachache sana ni mafisadi tatizo hao wachache percent kubwa wapewa maamuzi makubwa na jinsi katiba yetu isivyo democratic basi maamuzi yao yanalitesa taifa zima.

The director wa ajira utumishi is my great friend and for this case nampa congratulations!
 


JUMAPILI, SEPTEMBA 16, 2012 08:22 NA ARODIA METER DAR ES SALAAM

*Waziri Muhongo asema kesi Tanesco ni ‘ulaji’ tu
*Asema shirika hilo hivi sasa lina kesi 200 zisizoisha.
*Aitaka TPDC kupitia upya mikataba 26 ya gesi
*Akataa fedha ya mafuta na gesi kuingizwa Hazina
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema kesi mbalimbali zinazokabili mashirika yaliyo chini ya wizara yake likiwamo Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ni kichaka cha ‘ulaji’ wa watu.

Profesa Muhongo pia ameonya kuwa mtumishi atakayeingia mkataba mbovu na kampuni yoyote ya kigeni au ya ndani atafukuzwa kazi na kushtakiwa.

Aliyasema hayo wakati wa akizindua bodi mpya ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), katika Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency Dar es Salaam jana.

Fedha nyingi katika Tanzania zinapotea kwa njia ya mikataba mibovu na kesi nyingi zisizoisha mahakamani.

Alisema kwa mfano Tanesco peke yake kuna kesi zaidi ya 200 ambazo nyingi ni miradi ya watu wachache.

Waziri alisema baadhi ya watumishi wanashirikiana na makampuni ya sheria kuyaibia mashirika kwa kujipatia zaidi ya Sh milioni 200 kwa mwaka.

“Fedha nyingi katika nchi yetu zinapotea kwa kesi zisizoisha na mikataba mibovu… kesi hizo zinaifikisha bili zaidi ya Sh milioni 200 kwa mwaka na kusababisha taifa kubaki katika ufukara.

“Nimekwisha kusema ni marufuku kampuni moja kurundikiwa kesi nyingine na kampuni itakayopewa kazi hiyo lazima ishinde kesi nane kati ya 10, tofauti na hayo inyang’anywe mara moja… na tabia hii ife,” alisema Profesa Muhongo.

Kuhusu Bodi ya TPDC

Akizindua boda ya TPDC, Profesa Muhongo aliwasimamisha wajumbe wapya wa bodi kila mmoja kwa dakika mbili akiwataka waeleze uzoefu wako na jinsi watakavyosaidia kuliinua shirika hilo.

Baada ya kujielekeza waziri aliwakabidhi wajumbe hao mkoba wenye mikataba 26 ya TPDC ili waipitie na kutoa mapendekezo yao ndani ya miezi mitatu.

Alisema Novemba 30 mwaka huu atakaa pamoja nao kujadili mkataba moja baada ya mwingine.

“Hapa tuna mikataba 26 baadhi yake ni mibovu, kazi yenu ni kuipitia upya ni lazima kila mkataba ufanyiwe auditing (ukaguzi).

“Nimeambiwa kisima kimoja kinalindwa kwa thamani ya Dola za Marekani milioni 100 mpaka 150, kwa hiyo lazima bodi ipitie kwa makini suala hili ikiwezekana ulinzi huo ufanywe na jeshi letu ili fedha zibaki nchini.

“Tusije tukafanya tena mkosa kama tulivyofanya kwenye sekta ya Madani. Kampuni nyingi ni wajanja msiwaamini hata kidogo, haiwezekani mtu anachimba kwa miaka 10 bila kulipa kwa kisingizio cha fedha alizotumia.

Azuia mikataba mipya

Katika hatua nyingine, Profesa Muhongo amepiga marufuku mikataba mipya hadi ya sasa itakapopitiwa upya na kujiridhisha kwamba ipo kwa manufaa ya Watanzania.

“Kuanzia sasa sitasaini mkataba wowote hadi hii iliyopo tutakapojiridhisha kuwa iko salama kwa manufaa ya watanzania.” Alisema.

Fedha za gesi na mafuta kutoingizwa Hazina

Profesa Muhongo vilevile alisema fedha zote zitakazotokana na gesi na mafuta hazitaingizwa Hazina.

Alisema hatua hiyo itaepusha fedha hizo kuchangwa na nyingine na baadaye kuchakachuliwa na hivyo kushindwa kuonekana zimefanya jambo gani.

Waziri alisema fedha hizo zinapaswa kuonekana zimefanya kitu ambacho Watanzania watajivunia kuwapo kwa raslimali hiyo.

“Fedha za gesi na mafuta hazitakwenda Hazina kwa sababu huko kuna matobo mengi. Sitaki zikachanganywe na nyingine ambazo zikienda kwenye halmashauri mwishowe tutasikia dawati moja limenunuliwa kwa Sh milioni 10,” alisema.

Azungumzia malipo ya huduma (capacity charge)

Waziri Muhongo pia amepiga marufuku mashirika yote yaliyo chini ya Tanesco kuingia mkataba na kampuni unaotaka malipo ya huma (capacity charge).

Alisema malipo hayo ni bandia na wizi wa wazi, na mtumishi yeyote atakayeingia mkataba wa aina hiyo atafukuzwa kazi na baadaye kushtakiwa.

“Ni marufuku kwa kampuni inayotaka kufanya biashara na sisi kuweka kipengele cha capacity charge, kampuni itakayotaka capacity charge ni ya kipuuzi.

“Katika sekta ya umeme kuna kampuni zinazolipwa hadi Sh bilioni mbili hadi saba kwa mwezi kutokana na malipo ya capacity charge.

“Yeyote atakayeingia na kusaini mkataba wa aina hiyo akaufute mara moja kabla haujanifikia, tutamfukuza kazi na atashtakiwa kwa sababu ni mwizi,” alisema.

Sera ya gesi na mafuta

Waziri alisema ili sera ya gesi na mafuta iweze kuandaliwa wananchi wanaoishi mikoa inayotoa raslimali hiyo wajulishwe waweze kutoa maoni yao nini kiingizwe kwenye sera hiyo.

“Tena nyinyi wataalam msiende na kuwabwagia tu hiyo draft na kuondoka, muipeleke wiki mbili kabla na baadaye mkutane nao ili waseme ni kitu gani wanataka kiingizwe kwenye sera hiyo,” alisema.

Mchango katika bajeti ya serikali

Waziri Muhongo aliyaagiza mashirika yote yaliyo chini ya wizara yake kujiandaa kuchangia bajeti ya serikali mwakani.

Alisema serikali kama mbia mkuu wa mashirika hayo lazima apatiwe gawio lake kila mwaka.

“Hata wale wanaopata hasara lazima waonyeshe kwamba katika kipindi fulani watakuwa wanatengeneza faida kwa hiyo gawio lake lazima lionekane, hatuwezi kuendelea kukusanya kodi katika viberti, bia, soda huku nyinyi mkiendelea kupokea fedha za serikali bila kurejesha gawio,” alisema.

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC, Michael Mwanda alisema pamoja na mambo mengine wanatambua umuhimu wa kukamilika kwa Sera ya Gesi Asili na umuhimu wa kuifanyia marekebisho sheria ya utafutaji na uzalishaji mafuta ya mwaka 1980 kuondoa upungufu uliopo


Hapo kwenye red inaonyesha ni "msg sent" na wenye akili wasome na kuelewa Prof anamaanisha nini?. Niliamini siku zote kuwa mambo ya "capacity charges" ni wizi mtupu na wengi walitupinga hata humu jamvini. Sasa ukweli ndo huo; sijui waliotuingiza katika hiyo mikataba ya sasa (ya kiwizi) unawaacha? alaf wastahafu na kukomba hata pension zao?

Huu ni mwanzo mzuri, na kwa mtindo huu ule mrija uliokuwa ukifyonza kwenye bilauli ya asali ya watanzania unakaribia kukatika.

All the best Prof.!

 
  • Thanks
Reactions: Ame
Jasusi, Ndahani, Ame, Maundumula,

Prof.Muhongo said:
Fedha za gesi na mafuta hazitakwenda Hazina kwa sababu huko kuna matobo mengi. Sitaki zikachanganywe na nyingine ambazo zikienda kwenye halmashauri mwishowe tutasikia dawati moja limenunuliwa kwa Sh milioni 10,


..hivi mnaichukuliaje hii kauli ya Prof.Muhongo kuhusu wizara ya fedha.

..je, waziri wa nishati ya madini anayo mamlaka ya kuzuia fedha zinazotokana na mapato ya gesi na mafuta zisiwasilishwe HAZINA??

..nina wasiwasi Prof.Muhongo anaweza kuingia ktk malumbano na Waziri wa Fedha.

NB:

..hapo bado Dr.Magufuli hajaanza kushinikiza kubomoa jengo la makao makuu ya Tanesco!!
 
Napata na wasiwasi na huyu Waziri kama anajua anachoongea au anaongea kufururahisha baraza. Kwa mfano anaposema fedha za madini na gesi hazitaenda Hazina, sasa atazipeleka wapi? Na atazitumia kwa sheria ipi ya fedha? Na je yeye kama Waziri ana mamlaka yapi ya kuamua fedha za serikali haziendi hazina? Kwa maana jingine je anaweza kuamua tu ziende wapi bila kuamuliwa na bunge? (Labda hakumbuki kilichomkumba Kawambwa wakati ule akiwa Waziri wa Ujenzi alipoanza kutumia fedha za serikali kwenye barabara za Bagamoyo bila kupitishwa na Bunge).

Halafu kingine anasema kuwa Hazina kuna matobo, sasa angekuwa mtu wa Upinzani ningemuelewa lakini huyu ni wa CCM ameshindwaje kuongea na bosi aliyemteua ili azibe hayo matobo. Na kama haamini kama bosi wake anaweza kuziba hayo matobo, kuja kulalalmika kwenye media kunamsaidia nini mtanzania wa kawaida ambaye si Waziri.

Hivi huyu Prof haelewi haya kweli au anatafuta kisingizio ikitokea ameshindwa?

Kifupi nina wasiwasi na huyu jamaa hivyo najiunga na wengine kusubiri tuone.
 
Mwenyezi Mungu mpe maisha marefu Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo na aendelee na msimamo wake huu huu. Aaamin.
 
Jasusi, Ndahani, Ame, Maundumula,



..hivi mnaichukuliaje hii kauli ya Prof.Muhongo kuhusu wizara ya fedha.

..je, waziri wa nishati ya madini anayo mamlaka ya kuzuia fedha zinazotokana na mapato ya gesi na mafuta zisiwasilishwe HAZINA??

..nina wasiwasi Prof.Muhongo anaweza kuingia ktk malumbano na Waziri wa Fedha.

NB:

..hapo bado Dr.Magufuli hajaanza kushinikiza kubomoa jengo la makao makuu ya Tanesco!!


Inategemea analisemea hili katika angle gani...Kama labda watapeleka bili kuhusiana labda na mapato ya anachokiongelea na kama imeshakuwa discussed why not? Si ni serikali ya hicho hicho chama kama wangekuwa wanasema upinzani basi hapo ingekuwa ni almost next to impossible kutokana na number yao bungeni....

Hii pia inaweza kuwa dirisha la CCM kuchomokea katika matatizo iliyojitakia ya kisiasa ili ku-win votes who knows...remember objective ya kwanza ya mwanasiasa ni vote maximization sasa kwa wenzetu wanaopeleka siasa kwa faida ya jamii wanaongeaga ukweli kwa silimia kubwa kuliko ss ambao tunaweza promise ku-leta Mungu kabisa huku tukijua kabisa hiyo ni ndoto za alinacha.....

Hapo CDm kama oponent lazima ijiweke sawa ku-counter ract ama kuja na policy mbadala ambayo ama itaendelea ku-ididimiza CCm kama huo utakuwa mtaji wao kisiasa..Therefore its difficult to tell kwsababu kwa sasa hajasema how lakini hawezi kusema kitu (kutokana na status yake-prof. wakuaminika) bila kuwa na kitu ambacho anakifahamu kitafanyika
 
Back
Top Bottom