Masakata
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 374
- 137
Ni kweli Prof Muhongo, walau unatupa matumaini, tatizo ni kwamba wewe ni NJIWA katika kundi la KUNGURU,.ufisadi wa nchi hii unapaliliwa na WAZEE,wakiona unagusa sana madili yao WATAKUTOA,.ushauri wangu kwako ni kwamba wakianza tu UPUUZI wao,jiuzulu.rudi zako UDSM,ili kulinda hadhi na heshima yako