TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

Hakuna mliyemshika pabaya, hakuna hoja Za msingi Za kujibu.

Zote hizo bra bra tuuuu, jengeni hoja Za msingi sio kulia lia kila siku
Hoja za msingi zipi unazotaka mchungaji huoni hizo orodha za wagalati Tanesco na sehemu zingine?

Nakubaliana na jamaa yangu mmoja alienda kufanya interview Tanesco aliulizwa unasali wapi jamaa hana jibu akaambiwa kaa pembeni.
 
Povu linakutoka la nini wewe mrembo, unaona kunahoja hapo? Hakuna njia ya mkato mkasome tu.

Kupenda vitu rahisi rahisi ndio kunawacost, wakati wa kutegemea vya bule Serikalini umeisha. Wakati wa kubebwa bebwa umeisha hakuna maisha rahisi
Kaa na ubazazi wako hivyohivyo maana ndivyo mlivyo fundishwa, ule upuuzi wa kupiga madebe WAISLAMU HAWAJASOMA mtausoma sasa,
 
Kama manavyojua NSSF imekuwa ikituhumiwa kuwa inaudini na kuna threads nyingi sana zinazungumzia hizo tuhuma kama huu uzi hapa chini. Ajabu hakuna aliyeleta ushidi wowote kuthibitisha tuhuma hizo

NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

Sasa kuna hizi tuhuma za udini TANESCO na kwa Jamiiforums style nawapa na Ushaidi huu hapa:

View attachment 329206

View attachment 329207



Take it in your mind Christian is first class and will always be

Hao wengine tunasindikizana tu
 
Kama kuna kitu cha kipuuzi ambacho hupaswi kuleta hapa jukwaani, basi ni maswala ya udini.
Ni ujinga mkubwa kwa waislam kujilinganisha na wakristo kielimu ama kutafuta usawa ktk ajira. Wakati wakristo wakiitafuta Elimu kwa miaka mingi ninyi mmekuwa mkipigana vikumbo kushinda misikitini na kufundishana kuran tukufu.
Ndiyo maana ikitokea taasisi Fulani imeajiri waislam wengi kuliko wakristo watu wanastuka, lkn kama wakristo wamejazana na waislam hakuna ama wapo wachache hakuna cha ajabu hapo. Pelekeni watoto shule acheni majungu ya kutaka usawa kwa masuala yanayohitaji Elimu msiyokuwa nayo.
 
Kanisa la Tanesco tunabadili jina sasa hivi itaitwa St Tanesco.
Majungu sio mtaji utaokufanya uelimike, Marehemu Banza aliimba ukiwa unaona majungu ni mali basi jaribu UJINGA.

Now ndio mnafanya UJINGA baada ya majungu mengine kushindwa kufanya kazi
 
Majungu sio mtaji utaokufanya uelimike, Marehemu Banza aliimba ukiwa unaona majungu ni mali basi jaribu UJINGA.

Now ndio mnafanya UJINGA baada ya majungu mengine kushindwa kufanya kazi
Wewe Kima kuambiwa UKWELI kuwa Tanesco ni kigango tayari umeona ni majungu?
 
Kama kuna kitu cha kipuuzi ambacho hupaswi kuleta hapa jukwaani, basi ni maswala ya udini.
Ni ujinga mkubwa kwa waislam kujilinganisha na wakristo kielimu ama kutafuta usawa ktk ajira. Wakati wakristo wakiitafuta Elimu kwa miaka mingi ninyi mmekuwa mkipigana vikumbo kushinda misikitini na kufundishana kuran tukufu.
Ndiyo maana ikitokea taasisi Fulani imeajiri waislam wengi kuliko wakristo watu wanastuka, lkn kama wakristo wamejazana na waislam hakuna ama wapo wachache hakuna cha ajabu hapo. Pelekeni watoto shule acheni majungu ya kutaka usawa kwa masuala yanayohitaji Elimu msiyokuwa nayo.
Mkuu tuwasamehe hawa wenzetu, uelewa wao ndio umeishia hapo
 
Mimi sipo hapa kukujibu wewe punguani mimi nipo hapa kuangalia wagalatia walivyojaa serikalini wanafanya ufisadi nchi inazidi kuwa masikini kila kukicha.

mlaumu Muhammad na Allah waliosema wagala ni Wasomi na Wacha Mungu na Wasomi..
au waongo?
 
Wewe Kima kuambiwa UKWELI kuwa Tanesco ni kigango tayari umeona ni majungu?

Huko kwenu majungu yapoje? Ajenda zenu zote zimeahindwa mlianza na kuiita JIPU, mkaja majungu mengine yote ni ukosefu wa akili ya kupambanua mambo, tutaendele kuwavumilia
na kuwaelimisha maana ninyi ni ndugu zetu hatuwezi kuwatupa.
 
Kundi la Wakirsto wakiwa sehemu moja uwa hamna sababu za udini wanasema ni wasomi lakini Waislam wakiwa watu sehemu moja tuambiwa ni udini daah!

Nimeona hizo orodha wamejaa wagalatia watupu utadhani ofisi za serikali ni vigango vya Kanisa.

Mods tunaomba tu huu uzi muutendee haki kama mlivyotendea haki uzi wa NSSF na Dr.Dau na udini.

Wakirsto wa Tanzania wana roho mbaya sana pamoja na usomi wao wanaojitapia wamejaa serikalini lakini nchi bado masikini kazi kufanya ufisadi tu.
salute,mkuu!mie najiuliza kama hoja ni uchache wa waislamu,mbona taasisi zingine wapo wengi tu,kwanini wawe wachache pale tanesko!?
 
Kundi la Wakirsto wakiwa sehemu moja uwa hamna sababu za udini wanasema ni wasomi lakini Waislam wakiwa watu sehemu moja tuambiwa ni udini daah!

Nimeona hizo orodha wamejaa wagalatia watupu utadhani ofisi za serikali ni vigango vya Kanisa.

Mods tunaomba tu huu uzi muutendee haki kama mlivyotendea haki uzi wa NSSF na Dr.Dau na udini.

Wakirsto wa Tanzania wana roho mbaya sana pamoja na usomi wao wanaojitapia wamejaa serikalini lakini nchi bado masikini kazi kufanya ufisadi tu.
salute,mkuu!mie najiuliza kama hoja ni uchache wa waislamu,mbona taasisi zingine wapo wengi tu,kwanini wawe wachache pale tanesko!?
 
Back
Top Bottom