born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,500
Lengo letu ni kuunda Jimbo/Diocese kabisa, sasa tupo kwenye parokia mnapiga kelele nyie vipi?Hiki tena sio kigango itakuwa parokia aseee.
Mpaka shura ya maimamu ikae,leooo?
Lengo letu ni kuunda Jimbo/Diocese kabisa, sasa tupo kwenye parokia mnapiga kelele nyie vipi?Hiki tena sio kigango itakuwa parokia aseee.
Kunamislamu aliyeomba kazi akawa na vigezo akakosa? Ama nyie ndio ndugu lawama mliojaa Dar es Salaam, hamna jema.Nani kakuambia hakuna vigezo? Acha hizo. Visingizio vilikua zamani, Waislam wameamka. Na bahati yenu kwa kua MoU imesaidia. Acheni hizo! Leo ndo unasema vigezo? Acha udini!
1.Sina muda wa kipuuzi na kupoteza kutafuta takwimu za watu na dini zao kwani sina mpango wa kujenga msikiti au kanisa karibu na ofisi hizo. Eti walitumia kigezo cha dini kuajiri. Yaani kama nafasi imetangazwa hajaomba dini fulani niende barabarani nikambembeleze mtu wa dini Fulani. Umeona wapi kwenye sayari hii mambo ya kijinga kama hayo1.tafuta takwimu za kwako ambazo ni sahihi kisha uziweke hapa
2. Si kwa idadi hyo yaani muislamu 1 shirika zima?? Sio hoja eti waislam kuwa hawajapata fursa ya kusoma ebu tuangaze huko vyuoni ina maana wote wale hufeli na kuishia mtaani??
Mtake msitake huo ndo ukweli wa mambo ulivyo
mbona NSSF watu wamezunggumzia udini ? why not tanesco wasizungumzieHivi wewe umesoma kweli bado unaongelea udini kweli Tanzania we we badala ulete maswala ya msingi unaongelea ajira za watu what if baba yako ndo angekuwa kaajiliwa Tanesco ungethubutu kuandika hicho ulicho kiandika kweli.
Mapovu hayajawahi kututoka kuhusu Dau. Majungu mnapigana nyie kwa nyie wenyeweMbona hayo hamkuyasema wakati mapovu yakiwatoka kuhusu NSSF?
We nguruwe ina maana waislamu walioajiriwa NSSF hawana qualifications??? pimbi kweli wewe, hadi leo unakuja na zilezile sound kuwa waislam hawajasoma, umefanya utafiti ukajiridhisha kuwa hawapo wenye qualifications, acheni roho mbaya! ina maana kitendo tu cha kuwa mkristo ni lazima uwe na chuki dhidi ya waislamu? hili li dini lenu ndo maana linazidi kukimbiwa na waumini, halina maana yoyote duniani, naona mmeachiwa miafrika muhangaike nalo
Hiki tena sio kigango itakuwa parokia aseee.
kwa hiyo waislam walioajiriwa nssf hawana vigezo vya elimu isipokuwa dini yao , ndio maana wakristo wanapiga kelele kuhusu nssfWabalance hata Kama huna vigezo? Ukiwa na vigezo hakuna shida unapata bila tatizo na swala sio balance ni wenyevigezo wapate, wasio na vogezo washinde kwenye keyboard wakifanya majungu
mkuu uko sahihi!naona wanajificha nyuma ya usomi wa wagalatia!ila kama mgalatia mmoja atamchomeka mwenzie,na alyechomekwa akamchomeka mwingine...je hao waislamu watatu watakuwa na nguvu ya kuyachomeka na wenzao,at least hata kama hairuhusiwi...wataweza?hii ni too much,aisee!
Hamna lolote, ni mpuuzi tu anaweza kufikiri kidini, kwanza tuna uhakika gani kuwa hizi takwimu ulizotoa ni sahihi? Sidhani kama ajira zinatolewa kidini mahala popote serikali na kama ipo sidhani kama ni kwa kiasi hicho! Ina maana akija mkristo na mwislam alafu wakati wa interview mwislamu akashindwa kufanya vyema, unataka achaguliwe tu kisa dini? Acha kabisa usitulishe udini Watanzania.
Bakwata na KKKT njooni huku. Kumbe Mohammed Said na Sheikh Ilunga Hassan wana kaukweli fulani.
Kuwahesabu hao ni waislam inakuwa huujui uislam,Hawa jamaa kwa kutafuta njia nyepesi hili waonewe huruma hawajambo,yaani they're too cheap! Ten year ikulu imekuwa na rais mwislam,makamu mwislam,jaji mkuu mwislam,mkuu Wa usalama Wa taifa muislam bado wanalialia tu ,what's wrong with you janjaweed?
Remember,there is no free lunch in town get yourself good education instead of being crying babies.
Wabalance hata Kama huna vigezo? Ukiwa na vigezo hakuna shida unapata bila tatizo na swala sio balance ni wenyevigezo wapate, wasio na vogezo washinde kwenye keyboard wakifanya majungu