hatukatai mkuu,ila atleast wange jaribu kubalanceHaisaidii hamna mtu Mwenye akili timamu atamwajiri mtu kwa sababu ya dini yake wakati taasisi sio ya kinidini.
Kama ulisoma elimu AHELA, unategemea upate kazi katika elimu DUNIA ni ndoto za ALINACHA.nimeyaona,kudadeki!katika idadi yote waislamu hawafiki hata watano!aya tuseme kuna waislamu waliochukua majina ya wakristo miaka hili wasome,ukijumlisha na hao hawafiki kumi!kudadadeki!
Hapo dini iko wapi mbona sijaona mchungaji au sheikh hapo, bali ni majina ya watanzania wasomi.Kama manavyojua NSSF imekuwa ikituhumiwa kuwa inaudini na kuna threads nyingi sana zinazungumzia hizo tuhuma kama huu uzi hapa chini. Ajabu hakuna aliyeleta ushidi wowote kuthibitisha tuhuma hizo
NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'
Sasa kuna hizi tuhuma za udini TANESCO na kwa Jamiiforums style nawapa na Ushaidi huu hapa:
View attachment 329206
View attachment 329207
Hayo unayajua leo? Mbona wakati ule issue ya mapovu ya NSSF hukukemea? Leo umewekwa udini dhahiri kwa FACTS, naona mmeanza kujua madhara ya mbegu mulizoanza kujenga huko nyuma. Tabia mbaya sana hii. Watu wanaona raha ndani ya jamii kundi moja liwe dhaifu milele, hii haiwezekani kuchekelewa. Hata huko NSSF bado kwa top ilikua ni 3 kwa 5! Hapo TANESCO ni aibu!Umeishiwa sera na hoja sasa unaanza kuhubiri udini.
Kazi zote hutangazwa kwa mujibu wa sheria na waombaji kazi hushindanishwa, anayepata ni mwenyesifa stahiki.
ACHA KUHUBIRI UDINI, WOTE WATANZANIA TUNAHAKI SAWA, HATUUKIZANI UDINI WALA UKABILA.
MTU PEKEE MWENYE UPEO MDOGO WA KUFIKIRIA NDIO HUKAA NA KUWAZA VITU VISIVYOKUWA VYA MSINGI
mkuu,uko sahihi!hii imetisha!yaaani over 90% to 10%!dah1.tafuta takwimu za kwako ambazo ni sahihi kisha uziweke hapa
2. Si kwa idadi hyo yaani muislamu 1 shirika zima?? Sio hoja eti waislam kuwa hawajapata fursa ya kusoma ebu tuangaze huko vyuoni ina maana wote wale hufeli na kuishia mtaani??
Mtake msitake huo ndo ukweli wa mambo ulivyo
Hapo dini iko wapi mbona sijaona mchungaji au sheikh hapo, bali ni majina ya watanzania wasomi.
Wabalance hata Kama huna vigezo? Ukiwa na vigezo hakuna shida unapata bila tatizo na swala sio balance ni wenyevigezo wapate, wasio na vogezo washinde kwenye keyboard wakifanya majunguhatukatai mkuu,ila atleast wange jaribu kubalance
DAU kawachanganya sana, na ule msikiti NSSF ulikuwa unatafuta nini? TANESCO UMEONA KUNAKANISA?Ila kule NSSF uliona Sheikh, hakukua na Watanzania Wasomi?
kazi tu wapi wewe!mling'aka kuhusu Dau,ila ona hapo juu,yaani 4 muslims to 100+ christians du!Kama ulisoma elimu AHELA, unategemea upate kazi katika elimu DUNIA ni ndoto za ALINACHA.
Badala ya kulalamika msome ili mpate vigezo vya kushika hizo nyadhifa.
Naona swala la DAU limekuchanganya mkuu, tujenge nchi majungu peleka huko..
HAPA KAZI TU
Nani kakuambia hakuna vigezo? Acha hizo. Visingizio vilikua zamani, Waislam wameamka. Na bahati yenu kwa kua MoU imesaidia. Acheni hizo! Leo ndo unasema vigezo? Acha udini!Wabalance hata Kama huna vigezo? Ukiwa na vigezo hakuna shida unapata bila tatizo na swala sio balance ni wenyevigezo wapate, wasio na vogezo washinde kwenye keyboard wakifanya majungu
Mbona hayo hamkuyasema wakati mapovu yakiwatoka kuhusu NSSF?Umeishiwa sera na hoja sasa unaanza kuhubiri udini.
Kazi zote hutangazwa kwa mujibu wa sheria na waombaji kazi hushindanishwa, anayepata ni mwenyesifa stahiki.
ACHA KUHUBIRI UDINI, WOTE WATANZANIA TUNAHAKI SAWA, HATUUKIZANI UDINI WALA UKABILA.
MTU PEKEE MWENYE UPEO MDOGO WA KUFIKIRIA NDIO HUKAA NA KUWAZA VITU VISIVYOKUWA VYA MSINGI
Ushasikia wapi duniani wanafanya hivyo kubalance watu kazini kuendana na dini zao? Mimi sioni sababu ya kumwajiri mtu kutokana na dini yakehatukatai mkuu,ila atleast wange jaribu kubalance
mkuu uko sahihi!naona wanajificha nyuma ya usomi wa wagalatia!ila kama mgalatia mmoja atamchomeka mwenzie,na alyechomekwa akamchomeka mwingine...je hao waislamu watatu watakuwa na nguvu ya kuyachomeka na wenzao,at least hata kama hairuhusiwi...wataweza?hii ni too much,aisee!Hayo unayajua leo? Mbona wakati ule issue ya mapovu ya NSSF hukukemea? Leo umewekwa udini dhahiri kwa FACTS, naona mmeanza kujua madhara ya mbegu mulizoanza kujenga huko nyuma. Tabia mbaya sana hii. Watu wanaona raha ndani ya jamii kundi moja liwe dhaifu milele, hii haiwezekani kuchekelewa. Hata huko NSSF bado kwa top ilikua ni 3 kwa 5! Hapo TANESCO ni aibu!
Sijawahi kuwaza wala kulalamika kuwa NSSF imeajiri watu Fulani.Mbona hilo hukulisema wakati ule wa issue ya NSSF?
inakuwa udini tu,kama inahusisha ndugu zetu waislamu,si ndio?Umeishiwa sera na hoja sasa unaanza kuhubiri udini.
Kazi zote hutangazwa kwa mujibu wa sheria na waombaji kazi hushindanishwa, anayepata ni mwenyesifa stahiki.
ACHA KUHUBIRI UDINI, WOTE WATANZANIA TUNAHAKI SAWA, HATUUKIZANI UDINI WALA UKABILA.
MTU PEKEE MWENYE UPEO MDOGO WA KUFIKIRIA NDIO HUKAA NA KUWAZA VITU VISIVYOKUWA VYA MSINGI
Ulitaka wafuatwe misikitini kuajiliwa? Kazi hutangazwa na kuomba.kazi tu wapi wewe!mling'aka kuhusu Dau,ila ona hapo juu,yaani 4 muslims to 100+ christians du!
Hakuna udini hata Kama inausisha waisilamu, swala ni yupi mwenye vigezo kwa kazi husika bila kujali, Dini, rangi wala kabilainakuwa udini tu,kama inahusisha ndugu zetu waislamu,si ndio?
Lini mi nimongea kuhusu NSSF Chaza mtafute alieongea ndio umattack, msigombanishe watanzania bana.Ila kule NSSF uliona Sheikh, hakukua na Watanzania Wasomi?