Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 3,721
- 11,717
Nimejiuliza sana, chanzo cha mgao huu wa umeme ni nini haswa? Kuongezeka kwa wateja, uchakavu wa mitambo? What exactly?
Mambo yote hayo sio dharura, taasisi yenye vision na mission inapaswa kuyaona hayo na kujipanga miaka kadhaa nyuma kabla hayajatokea.
TANESCO ni punda asikwenda bila kiboko. Nashauri kuanzia mwezi ujao walipwe nusu mshahara, kuanzia MD mpaka fundi. Waendelee kulipwa hivyo mpaka tatizo likakapo kwisha.
Rais Samia kuwa mkali kidogo, na huyo Dotto mtoe huko kwenye unaibu waziri mkuu, afanye kazi ya msingi aachane na mambo ya kijinga ambayo hayapo hata kwenye katiba.
Mambo yote hayo sio dharura, taasisi yenye vision na mission inapaswa kuyaona hayo na kujipanga miaka kadhaa nyuma kabla hayajatokea.
TANESCO ni punda asikwenda bila kiboko. Nashauri kuanzia mwezi ujao walipwe nusu mshahara, kuanzia MD mpaka fundi. Waendelee kulipwa hivyo mpaka tatizo likakapo kwisha.
Rais Samia kuwa mkali kidogo, na huyo Dotto mtoe huko kwenye unaibu waziri mkuu, afanye kazi ya msingi aachane na mambo ya kijinga ambayo hayapo hata kwenye katiba.