iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Kwakweli tumechoka na kukatika umeme Kila siku.
Hivii tanesco shinyanga mnashida gani? Kila siku mnajifanya kutengeneza maeneo mbalimbali Kama vile didia.
Leo hii mmekata umeme zaidi ya mara 3, Hadi usiku huu umeme umekatika.
Mnasababisha wananchi waichukie serikali.
Sasa imekuwa too much.
Mnakata umeme kwa kisingizio Cha mgao wa umeme.
Hivii tanesco shinyanga mnashida gani? Kila siku mnajifanya kutengeneza maeneo mbalimbali Kama vile didia.
Leo hii mmekata umeme zaidi ya mara 3, Hadi usiku huu umeme umekatika.
Mnasababisha wananchi waichukie serikali.
Sasa imekuwa too much.
Mnakata umeme kwa kisingizio Cha mgao wa umeme.