Vichekesho
Senior Member
- Mar 28, 2024
- 195
- 347
Nimegundua mita yangu haikati umeme hata unit zikiisha, ni mpya kabisa na imefungwa kwenye nguzo yao ya umeme. Wamefunga mita za nyumba kama 4 kwenye nguzo hiyo, kwahiyo tunatumia vile vi remote ku control.
Sasa baada ya kubaini hitalafu hiyo jana nikaenda kwenye ofisi yao kuripoti, mhudumu niliyemkuta akasema inabidi niandike barua ya malalamiko niombe kubadilishiwa mita.
Nikamuuliza kwani taarifa niliyoileta hajaielewa mpaka niandike barua? Nikamuuliza hajui kama namimi na majukumu mengine, akasema huondio utaratibu.
Nikaondoka zangu. Kwakuwa nimeshatoa taarifa na nilifuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kuandika jina kwenye daftari la wageni kamwe sitarudi.
Mwisho: macho legevu na umbo kisiwe kigezo cha kuajiri.
Sasa baada ya kubaini hitalafu hiyo jana nikaenda kwenye ofisi yao kuripoti, mhudumu niliyemkuta akasema inabidi niandike barua ya malalamiko niombe kubadilishiwa mita.
Nikamuuliza kwani taarifa niliyoileta hajaielewa mpaka niandike barua? Nikamuuliza hajui kama namimi na majukumu mengine, akasema huondio utaratibu.
Nikaondoka zangu. Kwakuwa nimeshatoa taarifa na nilifuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kuandika jina kwenye daftari la wageni kamwe sitarudi.
Mwisho: macho legevu na umbo kisiwe kigezo cha kuajiri.