TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

......taarifa zinadai kuwa Bob junior na Joel ni ndugu wa karibu na kwa mujibu wa tanapa ni kwamba ugomvi ulianza Kwa Bob junior kuvamiwa......Joel alipoona mapambano makali aliamua kusepa ndo Bob kutokana na uzee alizidiwa na kufariki......inashauriwa watanzania kuwa watulivu ktk kipindi hiki kigumu.....Joel anaendelea kutafuta na bob junior atakumbukwa daima.......
 
HABARI: Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), William Mwakilema amesema simba Bob Junior aliyeuawa na simba wenzie alikuwa na mwenzie waliyezaliwa naye pamoja anayejulikana kwa jina la Joel ambaye walikuwa wakishirikiana, ila yeye alishindwa mapambano, hivyo akakimbilia kusikojulikana, na anaendela kutafutwa.

ITVUpdates

View attachment 2554172

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kifo hakina baunsa
 
......taarifa zinadai kuwa Bob junior na Joel ni ndugu wa karibu na kwa mujibu wa tanapa ni kwamba ugomvi ulianza Kwa Bob junior kuvamiwa......Joel alipoona mapambano makali aliamua kusepa ndo Bob kutokana na uzee alizidiwa na kufariki......inashauriwa watanzania kuwa watulivu ktk kipindi hiki kigumu.....Joel anaendelea kutafuta na bob junior atakumbukwa daima.......
Mazishi bado hayajapangwa nataka kuhuzulia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwan uyo simba ni nani mbona anapewa airtime zisizokua na msingi
Kutokana na uonekano wake wakipekee na manyoya yake kama amesukwa Rasta alipendwa, kujulikana na kufuatwa na watalii wengi .
Baba yake alikuwa anaitwa Bob Marley na baba yake mdogo akiitwa Ziggy Marley
 
HABARI: Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), William Mwakilema amesema simba Bob Junior aliyeuawa na simba wenzie alikuwa na mwenzie waliyezaliwa naye pamoja anayejulikana kwa jina la Joel ambaye walikuwa wakishirikiana, ila yeye alishindwa mapambano, hivyo akakimbilia kusikojulikana, na anaendela kutafutwa.

ITVUpdates

View attachment 2554172

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Joel amepita speed sana hapa chato itakuwa anaenda burigi moja hiyo..!
 
Back
Top Bottom