Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Yaani hao haters waliomuua Bob Jnr bora tu watokomee kusikojulikana kwa usalama wa maisha yao.Kaenda kushtua ukoo, soon watarudi kulipa kisasi 😅😅
Yaani hao haters waliomuua Bob Jnr bora tu watokomee kusikojulikana kwa usalama wa maisha yao.Kaenda kushtua ukoo, soon watarudi kulipa kisasi 😅😅
Itabidi utalii wa Simba ukome kwa muda. Kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe inaendelea 😅😅😅Yaani hao haters waliomuua Bob Jnr bora tu watokomee kusikojulikana kwa usalama wa maisha yao.
Kamati iundwe haraka kufatilia chanzo cha migogoro kabla hawajamalizana nchi ikabaki simbaless 😂😂Itabidi utalii wa Simba ukome kwa muda. Kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe inaendelea 😅😅😅
Wasiwasi wangu ni kwamba wataanza kuwauza, alaf wasingizie wanauana 😅😅Kamati iundwe haraka kufatilia chanzo cha migogoro kabla hawajamalizana nchi ikabaki simbaless 😂😂
Af kweli majamaa yatatambaa na beat, kama vipi wazungushie ukuta mbuga zote na camera ziwekwe kila konaWasiwasi wangu ni kwamba wataanza kuwauza, alaf wasingizie wanauana 😅😅
Kwenye mbuga kuweka ukuta hairuhusiwi. Wakitoa taarifa ya kifo, watuoneshe huyo Simba aliyekufa, kama wanavyosambaza picha za Bob. Na tuone akizikwa 😅😅😅😅Af kweli majamaa yatatambaa na beat, kama vipi wazungushie ukuta mbuga zote na camera ziwekwe kila kona
Na simba wengine wahojiwe ili waseme kama kweli mwenzao kafa kwa natural deathKwenye mbuga kuweka ukuta hairuhusiwi. Wakitoa taarifa ya kifo, watuoneshe huyo Simba aliyekufa, kama wanavyosambaza picha za Bob. Na tuone akizikwa 😅😅😅😅
Hakika. Maana wanasiasa hawaaminiki, hata kama wanaongea ukweli 😅😅Na simba wengine wahojiwe ili waseme kama kweli mwenzao kafa kwa natural death
hakuna mazishi mzee fisi kashamaliza utata
Af nimeona baba yake Bob Jr ni rastaman, nashauri apewe ulinzi hao wanasiasa wasije kumuua ili wapate rasta zake wakaziuze kwa watalii.Hakika. Maana wanasiasa hawaaminiki, hata kama wanaongea ukweli 😅😅
Huyo alishauliwa kitambo na mwanae bob Jr 😅Af nimeona baba yake Bob Jr ni rastaman, nashauri apewe ulinzi hao wanasiasa wasije kumuua ili wapate rasta zake wakaziuze kwa watalii.
Hawaaminiki hao
.......sasa hiyo kamati iongozwe na nani, manake Faru John si aliaga dunia Sina uhakika.....Kamati iundwe haraka kufatilia chanzo cha migogoro kabla hawajamalizana nchi ikabaki simbaless 😂😂
Alikimbia kuokoa roho yake....huko ni kujitambua.Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), William Mwakilema amesema simba Bob Junior aliyeuawa na simba wenzie alikuwa na mwenzie waliyezaliwa naye pamoja anayejulikana kwa jina la Joel ambaye walikuwa wakishirikiana, ila yeye alishindwa mapambano, hivyo akakimbilia kusikojulikana, na anaendela kutafutwa.
Pia soma > Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa
Kha kwahiyo dogo aliua dingi ake?Huyo alishauliwa kitambo na mwanae bob Jr 😅
Alibaki Faru Fausta, labda huyo ndio awe mwenyekiti atleast ana uzoefu kwenye hayo mambo........sasa hiyo kamati iongozwe na nani, manake Faru John si aliaga dunia Sina uhakika.....
......ok sawa na mjumbe mojawapo atakua Panya Magawa kutoka SUA, mzee wa kutegua mabonu.......Alibaki Faru Fausta, labda huyo ndio awe mwenyekiti atleast ana uzoefu kwenye hayo mambo.
Kama bado hawajamuua
Nakazia .........ok sawa na mjumbe mojawapo atakua Panya Magawa kutoka SUA, mzee wa kutegua mabonu.......
Labda ameenda kutoa taarifa kwa wana ukoo wengine
Mpeni muda, lazima atarudi kwa ajili ya mazishi


