TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

Joeli aliwaza akaona kama lema alikimbilia canada na lissu akakimbilia ubelgiji yeye abaki tu anashangaa ikabida atafute mahala akimbilie na atakua ameiga kwa viongozi wa chadema kukimbiakimbia kwenda kujificha
 
TANAPA huenda wangeenda kujaribu kumuulizia Mangungu au Mgunda huenda Joel yuko kwenye kambi kujiandaa na mechi ya Horoya.
 
Mwanetu Joel Snitch kaona vagi kachimba
Ni Mara chache sana Simba waliozaliwa mapacha kushindwa pambano. Ukiona Simba waliozaliwa mapacha wamekacha pambano na Simba mwengine/wengine, jua bhasi huyo Simba waliyepambana nae ni kijana zaidi yao.
 
Mpo kwenye Nchi yenu ila hamjui kitu chochote unawezaje kushangaa Simba kutangazwa ina maana hujui mchango wa mbuga zetu kwenye Pato la Taifa...
Hii sasa ndo tunaita mipasho.. haya usinijibu tena kama umeshindwa kueleza nilichokitaka
 
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), William Mwakilema amesema simba Bob Junior aliyeuawa na simba wenzie alikuwa na mwenzie waliyezaliwa naye pamoja anayejulikana kwa jina la Joel ambaye walikuwa wakishirikiana, ila yeye alishindwa mapambano, hivyo akakimbilia kusikojulikana, na anaendela kutafutwa.

Pia soma > Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

Haikubaliki hao Simba wengine wailoomuua mwenzio Joel na wenyewe watafutwe watiwe mbaroni ikiwezekana wafungwe kifungo Cha maisha au wahukumiwe kunyongwa .
Ukiua Kwa upanga na ww unakufa Kwa upanga nadhani tumeelewana
 
A
wan uyo simba ni nani mbona anapewa airtime zisizokua na msingi
Ameliingizia taifa pesa nyingi kuliko wewe
 
Back
Top Bottom