NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 11,273
- 14,524
- Thread starter
- #101
Nashauri MAITI YA BOB JUNIOR ISIZIKWE IKAOZA BORA IKAUSHWE NA KUWEKWA SEHEM KAMA MAKUMBUSHO AU HUKO HUKO SERENGETI ILI KUKUZA UTALII

Nashauri MAITI YA BOB JUNIOR ISIZIKWE IKAOZA BORA IKAUSHWE NA KUWEKWA SEHEM KAMA MAKUMBUSHO AU HUKO HUKO SERENGETI ILI KUKUZA UTALII

Anataka kulipa kisasiJo amekwenda kujipanga.Anakuja kivingine!!
Joel ni rafiki batili...

Ndiyo watu wanapenda SasaA
wan uyo simba ni nani mbona anapewa airtime zisizokua na msingi
Ameliingizia taifa pesa nyingi kuliko wewe
Na wafunguliwe mashitakaHaikubaliki hao Simba wengine wailoomuua mwenzio Joel na wenyewe watafutwe watiwe mbaroni ikiwezekana wafungwe kifungo Cha maisha au wahukumiwe kunyongwa .
Ukiua Kwa upanga na ww unakufa Kwa upanga nadhani tumeelewana

Hii ndo bongo ambayo simba (mnyama) anatafutwa kuliko binadamu akipotea







Atakuwa kakimbilia Kenya,ili achue flight kwenda zake BelgiumJoeli aliwaza akaona kama lema alikimbilia canada na lissu akakimbilia ubelgiji yeye abaki tu anashangaa ikabida atafute mahala akimbilie na atakua ameiga kwa viongozi wa chadema kukimbiakimbia kwenda kujificha



