TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

Haikubaliki hao Simba wengine wailoomuua mwenzio Joel na wenyewe watafutwe watiwe mbaroni ikiwezekana wafungwe kifungo Cha maisha au wahukumiwe kunyongwa .
Ukiua Kwa upanga na ww unakufa Kwa upanga nadhani tumeelewana
Na wafunguliwe mashitaka
 
Joeli aliwaza akaona kama lema alikimbilia canada na lissu akakimbilia ubelgiji yeye abaki tu anashangaa ikabida atafute mahala akimbilie na atakua ameiga kwa viongozi wa chadema kukimbiakimbia kwenda kujificha
Atakuwa kakimbilia Kenya,ili achue flight kwenda zake Belgium
 
Back
Top Bottom