professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,511
Duh Ngoja tuvute subra.......ofcoz hata Mimi sijajua atazikwa wapi na je yatakua ya kifamilia au ya kitaifa......lakini kibongobongo wanaweza wasizike hadi Joel afike maana ndo alikuwa karibu na marehemu.....
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

