Good wifeKujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Good wifeKujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
Wewe hupendi?Aisee hii kitu sijui inaisha lini!
Ninaichukia mno.
wewe ni Mtanzania?
Je, Unafikiria nini?
hela!Je, Unafikiria nini?
Njoo nikupehela!

hahahaha mwanangu unanikosea adabu hv hvNjoo nikupe![]()
sasa mama si umeniomba hela jamani, njoo nikupe ili usiniachie laanahahahaha mwanangu unanikosea adabu hv hv

😂😂😂😂💪💪💪✌😎sasa mama si umeniomba hela jamani, njoo nikupe ili usiniachie laana![]()
Kujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
Tufanyaje sasa mkuu, wakati ndo tushapenda hizo tamthiliaumeeleweka madam ila mada ilikuwa ni kwa jinsi gani mnatutesa wanaume mnapokuwa bize kuangalia sinema mpaka unamkuta mwenzio kalala na hamu zake hamuoni kama mnatukwaza na mnahatarisha ndoa zenu??