othiambo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 2,005
- 2,812
HaswaaHhahahahhahahaha dada othiamboooo nimekupenda. Kwamza mwanaume unaevumilia huo upuuzi jitafakari chukua hatua
HaswaaHhahahahhahahaha dada othiamboooo nimekupenda. Kwamza mwanaume unaevumilia huo upuuzi jitafakari chukua hatua
Wapo tu, wenye hofu na M/Mungu wapo kila pande duniani.Hivi na sie wakina Mwakalipili kuna wadada wanapiga maombi watupate au ni wanaume wa Dar tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashkuru tayari.BIBIE WEWE UMEOLEWA TAYARI...? NINA MPANGO MWEMA WA KUTEKELEZA SUNNA BORA MATHNA...KWA WANAWAKE BORA KAMA WEWE NIWASITIRI...
Mbadilishie king'amuzi weka dstv,Hii tamthilia wanaita SULTANA hatari kwa ndoa yani unakosa tendo, unakuta mwenza sa mbili kapika, hadi na nusu umekula unakuta mara sultana hadi sa tano huko akija kulala umelala, tendo hujapata, nipeni uzoefu nyie ratiba mmezipangaje
Hahahahha dawa ni kununua TV ya chumbani, unaangalia uku unaliwaKumbe wahanga wa sultan tupo wengi, yaan unamuandalia kila kitu mapema, SAA moja tu ushamshushia mpaka neti unamuandalia hadi nguo za kazini by SAA 2 mshakula.
Baba chanja akiingia chumbani kila kitu kiko safi abakosa 7bu ya kukuitaita, mwisho anakita we mama chanja njoo unipepee nasikia joto.
Unamuwashia fan unamuacha hapo ukirudi SAA 5 anakoloma hahahah
Akiamka asbh kanuni, ila hii sultan itatuvunjia ndoa kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi kwani wakina mama huwaga hampendi kugegedwa na waume zenu mbona wakati mwingine mnalalamika ooo mumewangu yeye akipiga bao moja tu chali anakoloma haamshi tena mkoje nyie ??? sasa unapoangalia siema mpaka umkute mwenzio kalala unaweza ukaisha hata mwezi je wewe huna hamu ya kugegedwa???
I love u too.
SafiSi kweli bwana. Ni suala la ratiba tu. Labda kama wewe mwenzetu ni wale mliokamatwa mpka mnajuta kwanini mliingia ndoani. Binafsi, sisi tunakula mapemaaa, yani kati ya saa moja au mbili hivi. Hivyo, hapo kuna muda mzuri tu wa kumkamua. Tena muda wa kuangalia SULTAN tunakuwa wote tunajikausha mbele ya wanafamilia utasema hatujafanya matusi. Na tukimaliza nakanyaga tena, kudaaaaadeki.
Ushauri
Kukanyagana hakuna kanuni sana. Wanandoa wengi tunakosea sana, eti mnakuta muda, eneo ni lilelile kila siku. Siku nyingine mazingira yakiruhusu kama kwa mfano mpo peke yenu mkanyage hapohapo na SULTAN wake. Masuala haya ni utundu tu na utukutu.
ha ha ha ha ha we jamaa unapenda kufanya matusi sanaHuwa nawashangaa sana baadhi ya wanandoa wanachukulua kupigana miti simple simple, weeeeeee......hiyo ni kama battle field japo sio kila siku mnakuwa na show za msimu japo kwa mwezi mara mbili au tatu sio haba.
Mnanjunjana hadi unauskilizia ukuni kama unakutoboa vile unatokeza kwenye maini na figo na bandama, mkichanganya na mitusi mnashushiana hapo mbona burudani!! Mkija mkikojoleana kwa pamoja ile ya kuhesabiana ileeee unalala mazima ukishtuka hapo kumeshakucha mnatawanyikia mihangaikoni, basi kila ukimemorize unajikuta unacheeeeka mwenyewe
kwa mwanadamu aliyekamili na mwili usio na tatizo kwanini makosa niegezi ni kitu ambacho kipo automaticallyTunapenda.Tatizo hatuna niegez.
Mambo mengi yanakata niegez,migogoro,mazoea ya kimapenzi,vyakula,uchovu madeni...kwa mwanadamu aliyekamili na mwili usio na tatizo kwanini makosa niegezi ni kitu ambacho kipo automatically
hapana yaani sisi tuwatundu vya kutosha lakini mnacho tuboa ni hapo tu unapokuwa bize na tamsilia unaniacha chumbani tena zimepanda hatari unajizunguuusha huko mpaka unanikuta nimelala halafu mambo ya maisha yanatakiwa yaishie mlangoni ukiingia ndani tu unaanza kumuwaza mpendwa wako hapo niegez lazima uzisikilizie tuAlafu utundu tu investment yake ndogo.