Si kweli bwana. Ni suala la ratiba tu. Labda kama wewe mwenzetu ni wale mliokamatwa mpka mnajuta kwanini mliingia ndoani. Binafsi, sisi tunakula mapemaaa, yani kati ya saa moja au mbili hivi. Hivyo, hapo kuna muda mzuri tu wa kumkamua. Tena muda wa kuangalia SULTAN tunakuwa wote tunajikausha mbele ya wanafamilia utasema hatujafanya matusi. Na tukimaliza nakanyaga tena, kudaaaaadeki.
Ushauri
Kukanyagana hakuna kanuni sana. Wanandoa wengi tunakosea sana, eti mnakuta muda, eneo ni lilelile kila siku. Siku nyingine mazingira yakiruhusu kama kwa mfano mpo peke yenu mkanyage hapohapo na SULTAN wake. Masuala haya ni utundu tu na utukutu.