Tamthiliya ya Sultan inaharibu ndoa

Tamthiliya ya Sultan inaharibu ndoa

Hii tamthilia wanaita SULTANA hatari kwa ndoa yani unakosa tendo, unakuta mwenza sa mbili kapika, hadi na nusu umekula unakuta mara sultana hadi sa tano huko akija kulala umelala, tendo hujapata, nipeni uzoefu nyie ratiba mmezipangaje

Si kweli bwana. Ni suala la ratiba tu. Labda kama wewe mwenzetu ni wale mliokamatwa mpka mnajuta kwanini mliingia ndoani. Binafsi, sisi tunakula mapemaaa, yani kati ya saa moja au mbili hivi. Hivyo, hapo kuna muda mzuri tu wa kumkamua. Tena muda wa kuangalia SULTAN tunakuwa wote tunajikausha mbele ya wanafamilia utasema hatujafanya matusi. Na tukimaliza nakanyaga tena, kudaaaaadeki.

Ushauri

Kukanyagana hakuna kanuni sana. Wanandoa wengi tunakosea sana, eti mnakuta muda, eneo ni lilelile kila siku. Siku nyingine mazingira yakiruhusu kama kwa mfano mpo peke yenu mkanyage hapohapo na SULTAN wake. Masuala haya ni utundu tu na utukutu.
 
hivi kwani wakina mama huwaga hampendi kugegedwa na waume zenu mbona wakati mwingine mnalalamika ooo mumewangu yeye akipiga bao moja tu chali anakoloma haamshi tena mkoje nyie ??? sasa unapoangalia siema mpaka umkute mwenzio kalala unaweza ukaisha hata mwezi je wewe huna hamu ya kugegedwa???
Tunamida yetu ya kukutana, watoto wakishalala nadhani watu wanandoa wenzangu mmeshanielewa hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli bwana. Ni suala la ratiba tu. Labda kama wewe mwenzetu ni wale mliokamatwa mpka mnajuta kwanini mliingia ndoani. Binafsi, sisi tunakula mapemaaa, yani kati ya saa moja au mbili hivi. Hivyo, hapo kuna muda mzuri tu wa kumkamua. Tena muda wa kuangalia SULTAN tunakuwa wote tunajikausha mbele ya wanafamilia utasema hatujafanya matusi. Na tukimaliza nakanyaga tena, kudaaaaadeki.

Ushauri

Kukanyagana hakuna kanuni sana. Wanandoa wengi tunakosea sana, eti mnakuta muda, eneo ni lilelile kila siku. Siku nyingine mazingira yakiruhusu kama kwa mfano mpo peke yenu mkanyage hapohapo na SULTAN wake. Masuala haya ni utundu tu na utukutu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tamthilia wanaita SULTANA hatari kwa ndoa yani unakosa tendo, unakuta mwenza sa mbili kapika, hadi na nusu umekula unakuta mara sultana hadi sa tano huko akija kulala umelala, tendo hujapata, nipeni uzoefu nyie ratiba mmezipangaje

huku DSTV kuna-lichanel 160 zee world linawaharibu sana wa jinsia ya KE
 
Eeeeeee,,,ndio.. Hapo Mwenyewe naingia king😂😂
Tunamida yetu ya kukutana, watoto wakishalala nadhani watu wanandoa wenzangu mmeshanielewa hapo
umeeleweka madam ila mada ilikuwa ni kwa jinsi gani mnatutesa wanaume mnapokuwa bize kuangalia sinema mpaka unamkuta mwenzio kalala na hamu zake hamuoni kama mnatukwaza na mnahatarisha ndoa zenu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom