Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Hapo kwenye zee world wacha kabisa... Ni firehuku DSTV kuna-lichanel 160 zee world linawaharibu sana wa jinsia ya KE
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye zee world wacha kabisa... Ni firehuku DSTV kuna-lichanel 160 zee world linawaharibu sana wa jinsia ya KE
Hivi na sie wakina Mwakalipili kuna wadada wanapiga maombi watupate au ni wanaume wa Dar tu?Kujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
Vipi kuhusu TBC mkuu?Sijui kwanini tamthiria /series hazina nafasi kwangu!
Mi zangu Taarifa ya habari (ITV),BBC, mpira, na movies za wanyama.
Sent using Jamii Forums mobile app

Tuliozoea kubusubusu kula denda
BIBIE WEWE UMEOLEWA TAYARI...? NINA MPANGO MWEMA WA KUTEKELEZA SUNNA BORA MATHNA...KWA WANAWAKE BORA KAMA WEWE NIWASITIRI...Kujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
samahani dadangu , kama hujaolewa naomba tujuane PMKujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
Hhahahahhahahaha dada othiamboooo nimekupenda. Kwamza mwanaume unaevumilia huo upuuzi jitafakari chukua hatuaKujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
m
mtafiti, chukulia mnatoka kwene mihangaiko ndani mnaingia sa moja, akolezea mkaa hadi ukolee, apike, mle si sa tatu tayri hyo?! mmekula unatarajia muende kulala mwenzio anasema anaangalia sultani, mbali na hvo, mnapoenda kulala na mwenzio kwa pamoja kuna raha yake sio anakuja ushalala mnaonana
Sasa, hoja ilikuwa sisi wengine tunafanyaje ili kukabiliana na hali hii? Mimi nikatoa vile ninafanya.Basi kumbe suala hapa si la jumla, inategemea mnaishi vipi, kuanzia aina ya kazi na maelewano yenu ndani ya nyumba.
Nina hakika kama kuna mawasiliano mazuri, bado mnaweza kuafikiana namna ya kufanya ili mambo yaende.Hilo ni tatizo si kwa SULTAN pekee, bali kwa mambo mengi. Kwa mfano, unasemaje kwa washabiki wa mpira? EPL na World cup, wakike nao wasemeje hapa?
Ulivyoitaja SULTAN ni kama vile yenyewe tu ndo inashida hadi kuisema inahatarisha ndoa, vip mipira? Ninafikiri kuwasiliana ni muhimu
Pole sana
Hawa ndio wake sasa...Kujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
Na muachike tu maana Hakuna namnana vipi wale wanaunguzaga vyakula kisa DOUBLE KARA
Kuna wanawake mnatupa at least moyo wa kuoaAah mm hata kiwe kitu gan siez mwacha mmewangu alale mwenyewe labda mwenyewe akitaka ajoin tu ila aende kulala m nibak naangalia tv never
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiona comment kama hii inanipa moyo huenda nikapata mwanamke wa namna hiiKujiendekeza tu mi nimuache mume wangu niliyekesha kuswali kiyamu laili kumpata kwaajili ya huo upuuzi.
Kiukwel wanawake wanaojitambua wapo sana yaan mwanamme unakuta anaongea mwenyewe at mm na ww mpaka kifo kitutenganishe nacheka mieKuna wanawake mnatupa at least moyo wa kuoa
Hakika mmeo kapata mkeKiukwel wanawake wanaojitambua wapo sana yaan mwanamme unakuta anaongea mwenyewe at mm na ww mpaka kifo kitutenganishe nacheka mie
Sent using Jamii Forums mobile app