Tamthiliya ya Sultan inaharibu ndoa

Tamthiliya ya Sultan inaharibu ndoa

hivi kwani wakina mama huwaga hampendi kugegedwa na waume zenu mbona wakati mwingine mnalalamika ooo mumewangu yeye akipiga bao moja tu chali anakoloma haamshi tena mkoje nyie ??? sasa unapoangalia siema mpaka umkute mwenzio kalala unaweza ukaisha hata mwezi je wewe huna hamu ya kugegedwa???
Sisi hamu inapotezwaga na uchovu,,mwanaume hata akichoka anaweza ,,sisi ukichoka unaomba Mume asihitaji kabisa
 
hivi kwani wakina mama huwaga hampendi kugegedwa na waume zenu mbona wakati mwingine mnalalamika ooo mumewangu yeye akipiga bao moja tu chali anakoloma haamshi tena mkoje nyie ??? sasa unapoangalia siema mpaka umkute mwenzio kalala unaweza ukaisha hata mwezi je wewe huna hamu ya kugegedwa???
 
yani mda mwingine unaacha bila kulipia kifurushi sa unakuta game mbalimbali za football unatamani kuangalia unalipia hapo ndo umeharibu,
 
Mwezi mmoja
kwahiyo mwezi ukipita hali inakuwa mbaya inabidi uombe mwenyewe??maana navyojua mimi hata nyinyi huwaga ikipita muda zinasumbua sanaaa yaani unakuwa hauko confortable lazima uyakamue tu kwahiyo ukipita mwezi na hujapatta muda wa kupumzika hamu inaanza kuja automatically au??
 
kwahiyo mwezi ukipita hali inakuwa mbaya inabidi uombe mwenyewe??maana navyojua mimi hata nyinyi huwaga ikipita muda zinasumbua sanaaa yaani unakuwa hauko confortable lazima uyakamue tu kwahiyo ukipita mwezi na hujapatta muda wa kupumzika hamu inaanza kuja automatically au??
Eeeeeee,,,ndio.. Hapo Mwenyewe naingia king😂😂😂😂
 
Hii tamthilia wanaita SULTANA hatari kwa ndoa yani unakosa tendo, unakuta mwenza sa mbili kapika, hadi na nusu umekula unakuta mara sultana hadi sa tano huko akija kulala umelala, tendo hujapata, nipeni uzoefu nyie ratiba mmezipangaje
Kivipi inaharibu ndoa upumbavu na ujinga ni wa sisi wenyewe eti wazungu wametuaribu kwani mzungu alikwambia fanya hivi si sisi na upumbavu na ujinga wa mwafrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom