Tamko litolewe kukemea mwendokasi wa hizi treni.

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,412
Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.

Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.

Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.

Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea!
xxx.jpeg
xxx.jpeg
 
Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea muda wa jioni maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain w Treani badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kuligonga.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
View attachment 2766990View attachment 2766990
"Captain w Treani badala ya kukwepa ..." eeh mtoa mada serious ulitegemea train "kukwepa" ?!! Kwamba kuna reli pembeni ya kukwepea ?! Au train ingeweza kupita kwenye ardhi ?!! Mkuu samahani, kuna vileo umetumia au umevuta ?!
 
Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.

Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.

Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.

Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
View attachment 2766990View attachment 2766990
Mwenye makosa hapo ni dereva wa basi
 
Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.

Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.

Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.

Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
View attachment 2766990View attachment 2766990
Treni ni kama mabasi ya mwendokasi yana njia yake maalumu. Kwa hio haiwezi kugonga bali inagongwa na chombo kinachotumika njia yake.
 
Back
Top Bottom