Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,412
Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea!
Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea!