Tamko la wazee Chadema: Mbowe ndiye kiongozi pekee barani Afrika asiyelipwa posho wala malipo yoyote na chama chake, anajitolea!

Mbowe arudishe bilion nane. Aache kuwatumia wazee kuhalalisha ufisadi wake
Kapeleke ushahidi mahakamani usiseme na kulalamika kama kahaba uliyekuwa hujalipwa malipo yako baada yakupigwa mzigo.
 
Baraza la wazee wa Chadema limetoa tamko lake la kumtetea Mwenyekiti wa chama hicho dhidi ya njama ovu zinazotekelezwa na wabunge waliohamia CCM wakimtumia Mwita Waitara aliyewahi kuwa mlinzi wa Mbowe.

Katika tamko lake baraza la wazee limetaja sifa kuu 3 za Mbowe:

Mosi Mbowe ni mwenyekiti pekee wa chama cha siasa barani Afrika ambaye hapokei posho wala malipo yoyote kutoka kwenye chama chake anaitumikia Chadema kwa kujitolea.

Pili, Mbowe ndiye Mwenyekiti pekee wa chama cha siasa nchini anayeaminiwa na chama pamoja na wanachama ambao wameamchagua mara zote na amedumu katika uongozi kwa takribani miaka 25.

Tatu, Mbowe ndiye kiongozi pekee nchini aliyeingia katika uongozi akiwa tajiri na serikali kumfanyia figisu hadi anafilisika bila kuogopa wala kukata tamaa tofauti na wenyeviti wa CCM mzee Mwinyi, mzee Mkapa na mzee Kikwete ambao waliingia wakiwa maskini na kuondoka wakiwa matajiri.

Mwisho wazee hao wamemtaka Mwita Waitara kama ni mzalendo na siyo mnafiki anayejipendekeza, aanze kuhoji ufisadi unaofanywa na viongozi wa CCM.

Source: Ayo TV


Maendeleo hayana vyama
Hapo hakuna mzee, watakuwa wamepata mvi tu.
 
Naungana na wazee wa CDM kwamba Mh. Mbowe ni Jabari la siasa Tanzania.... wamejaribu kumnunua iwe awe mamluki wa upinzani lalkini imeshindikana, Kumtafutia makosa ili afungwe kifungo kirefu inakuwa nguvu sababu tayari ni Public figure, Kumtafutia kosa la wizi wa pesa za Chama pia imeshindikana sababu CAG kashatoa hati swaafi kwa CDM, Kumfirisi biashara zake zinazompa ujeuri wa pesa hili wamefanya lakini wamekwama baada ya kuvunja Billicans na Kufyeka Green house yake huko mtoto weruwere (Dhambi kubwa kufyeka mazao ya chakula yaliyopadwa)

Sasa kilichobaki ni kuwanunua Wabunge wa chama chake hasa wenye njaa njaa na Madiwani wao ili wamchafue - kina mama waseme wananyanyaswa ki ngono na kina baba nao wasije wakajisahau wakasema hivyo hivyo maana maneno ya kukaririshwa saa nyingine unasahau sahau.

Mbowe ni Jabari.
 
Baraza la wazee wa Chadema limetoa tamko lake la kumtetea Mwenyekiti wa chama hicho dhidi ya njama ovu zinazotekelezwa na wabunge waliohamia CCM wakimtumia Mwita Waitara aliyewahi kuwa mlinzi wa Mbowe.

Katika tamko lake baraza la wazee limetaja sifa kuu 3 za Mbowe:

Mosi Mbowe ni mwenyekiti pekee wa chama cha siasa barani Afrika ambaye hapokei posho wala malipo yoyote kutoka kwenye chama chake anaitumikia Chadema kwa kujitolea.

Pili, Mbowe ndiye Mwenyekiti pekee wa chama cha siasa nchini anayeaminiwa na chama pamoja na wanachama ambao wameamchagua mara zote na amedumu katika uongozi kwa takribani miaka 25.

Tatu, Mbowe ndiye kiongozi pekee nchini aliyeingia katika uongozi akiwa tajiri na serikali kumfanyia figisu hadi anafilisika bila kuogopa wala kukata tamaa tofauti na wenyeviti wa CCM mzee Mwinyi, mzee Mkapa na mzee Kikwete ambao waliingia wakiwa maskini na kuondoka wakiwa matajiri.

Mwisho wazee hao wamemtaka Mwita Waitara kama ni mzalendo na siyo mnafiki anayejipendekeza, aanze kuhoji ufisadi unaofanywa na viongozi wa CCM.

Source: Ayo TV

Maendeleo hayana vyama
Kwa Mbowe kila Goti litapigwa
 
Naungana na wazee wa CDM kwamba Mh. Mbowe ni Jabari la siasa Tanzania.... wamejaribu kumnunua iwe awe mamluki wa upinzani lalkini imeshindikana, Kumtafutia makosa ili afungwe kifungo kirefu inakuwa nguvu sababu tayari ni Public figure, Kumtafutia kosa la wizi wa pesa za Chama pia imeshindikana sababu CAG kashatoa hati swaafi kwa CDM, Kumfirisi biashara zake zinazompa ujeuri wa pesa hili wamefanya lakini wamekwama baada ya kuvunja Billicans na Kufyeka Green house yake huko mtoto weruwere (Dhambi kubwa kufyeka mazao ya chakula yaliyopadwa)

Sasa kilichobaki ni kuwanunua Wabunge wa chama chake hasa wenye njaa njaa na Madiwani wao ili wamchafue - kina mama waseme wananyanyaswa ki ngono na kina baba nao wasije wakajisahau wakasema hivyo hivyo maana maneno ya kukaririshwa saa nyingine unasahau sahau.

Mbowe ni Jabari.
Mungu alipomthibitisha Ayubu, aliwaonyesha marafiki kwamba walikosa walipodai kwamba kila shida ni matokeo ya dhambi za mtu binafsi. Pia alionyesha kwamba Elifazi alikosa alipodai kwamba watu wanamwabubu Mungu tu, kwa sababu anawapa mambo mema na fanaka. Ayubu alidumu kuwa mwaminifu kwa Mungu, ingawa alipoteza kila kitu, lakini mwisho Mungu alimbariki kwa mibaraka mikubwa kuliko aliyokuwanayo hapo awali.
 
Back
Top Bottom