johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,285
- 142,471
- Thread starter
- #61
Ruzuku ni kodi ya watanzania wote!Wazee nao bana bt Cha kushangaza wanaomsakama wala sio wanachadema..
Ruzuku ni kodi ya watanzania wote!Wazee nao bana bt Cha kushangaza wanaomsakama wala sio wanachadema..
TAKUKURU wanahitajika kufuatilia PIA michango ya wahanga wa tetemeko Kagera.Mbowe arudishe bilion nane. Aache kuwatumia wazee kuhalalisha ufisadi wake
TAKUKURU wanahitajika kufuatilia PIA michango ya wahanga wa tetemeko Kagera.
Kapeleke ushahidi mahakamani usiseme na kulalamika kama kahaba uliyekuwa hujalipwa malipo yako baada yakupigwa mzigo.Mbowe arudishe bilion nane. Aache kuwatumia wazee kuhalalisha ufisadi wake
Nawamesha sema mbowe angekuwa anauchu wa madaraka au pesa angekaa ccm azipige pesa kisawasawa nafahamu familia yao vizuri mbowe mwana majeuzi wakweliMataga watasema wazee wamenunuliwa na Mbowe
Kama zile pesa zilizochotwa na kutumika kinyemela kujenga International airport kijijini kwetu CHATORuzuku ni kodi ya watanzania wote!
Bashite na wenzie ndio waliokulia kusiko maadili. Mwisho wao utakuja kuwa mbaya sanaNdio mkuu mimi Nina miaka 23yrs sasa ntawapingaje wazee wachadema ..siwezi lazima nitunze heshima yao
Hapo hakuna mzee, watakuwa wamepata mvi tu.Baraza la wazee wa Chadema limetoa tamko lake la kumtetea Mwenyekiti wa chama hicho dhidi ya njama ovu zinazotekelezwa na wabunge waliohamia CCM wakimtumia Mwita Waitara aliyewahi kuwa mlinzi wa Mbowe.
Katika tamko lake baraza la wazee limetaja sifa kuu 3 za Mbowe:
Mosi Mbowe ni mwenyekiti pekee wa chama cha siasa barani Afrika ambaye hapokei posho wala malipo yoyote kutoka kwenye chama chake anaitumikia Chadema kwa kujitolea.
Pili, Mbowe ndiye Mwenyekiti pekee wa chama cha siasa nchini anayeaminiwa na chama pamoja na wanachama ambao wameamchagua mara zote na amedumu katika uongozi kwa takribani miaka 25.
Tatu, Mbowe ndiye kiongozi pekee nchini aliyeingia katika uongozi akiwa tajiri na serikali kumfanyia figisu hadi anafilisika bila kuogopa wala kukata tamaa tofauti na wenyeviti wa CCM mzee Mwinyi, mzee Mkapa na mzee Kikwete ambao waliingia wakiwa maskini na kuondoka wakiwa matajiri.
Mwisho wazee hao wamemtaka Mwita Waitara kama ni mzalendo na siyo mnafiki anayejipendekeza, aanze kuhoji ufisadi unaofanywa na viongozi wa CCM.
Source: Ayo TV
Maendeleo hayana vyama
TUNASUBIRIBila shaka, baada ya ufisadi wa Mbowe kuanikwa
Ahsante TUNASUBIRIBila shaka, baada ya ufisadi wa Mbowe kuanikwa
Ahsante TUNASUBIRIBila shaka, baada ya ufisadi wa Mbowe kuanikwa
Wakishazeeka!Hao wazee wa chadema huwa wanapatikanaje?
Utapigwa mande. TuliaWe upo insane?
Kwa Mbowe kila Goti litapigwaBaraza la wazee wa Chadema limetoa tamko lake la kumtetea Mwenyekiti wa chama hicho dhidi ya njama ovu zinazotekelezwa na wabunge waliohamia CCM wakimtumia Mwita Waitara aliyewahi kuwa mlinzi wa Mbowe.
Katika tamko lake baraza la wazee limetaja sifa kuu 3 za Mbowe:
Mosi Mbowe ni mwenyekiti pekee wa chama cha siasa barani Afrika ambaye hapokei posho wala malipo yoyote kutoka kwenye chama chake anaitumikia Chadema kwa kujitolea.
Pili, Mbowe ndiye Mwenyekiti pekee wa chama cha siasa nchini anayeaminiwa na chama pamoja na wanachama ambao wameamchagua mara zote na amedumu katika uongozi kwa takribani miaka 25.
Tatu, Mbowe ndiye kiongozi pekee nchini aliyeingia katika uongozi akiwa tajiri na serikali kumfanyia figisu hadi anafilisika bila kuogopa wala kukata tamaa tofauti na wenyeviti wa CCM mzee Mwinyi, mzee Mkapa na mzee Kikwete ambao waliingia wakiwa maskini na kuondoka wakiwa matajiri.
Mwisho wazee hao wamemtaka Mwita Waitara kama ni mzalendo na siyo mnafiki anayejipendekeza, aanze kuhoji ufisadi unaofanywa na viongozi wa CCM.
Source: Ayo TV
Maendeleo hayana vyama
Unaanza matusi Dadmon?Utapigwa mande. Tulia
Mungu alipomthibitisha Ayubu, aliwaonyesha marafiki kwamba walikosa walipodai kwamba kila shida ni matokeo ya dhambi za mtu binafsi. Pia alionyesha kwamba Elifazi alikosa alipodai kwamba watu wanamwabubu Mungu tu, kwa sababu anawapa mambo mema na fanaka. Ayubu alidumu kuwa mwaminifu kwa Mungu, ingawa alipoteza kila kitu, lakini mwisho Mungu alimbariki kwa mibaraka mikubwa kuliko aliyokuwanayo hapo awali.Naungana na wazee wa CDM kwamba Mh. Mbowe ni Jabari la siasa Tanzania.... wamejaribu kumnunua iwe awe mamluki wa upinzani lalkini imeshindikana, Kumtafutia makosa ili afungwe kifungo kirefu inakuwa nguvu sababu tayari ni Public figure, Kumtafutia kosa la wizi wa pesa za Chama pia imeshindikana sababu CAG kashatoa hati swaafi kwa CDM, Kumfirisi biashara zake zinazompa ujeuri wa pesa hili wamefanya lakini wamekwama baada ya kuvunja Billicans na Kufyeka Green house yake huko mtoto weruwere (Dhambi kubwa kufyeka mazao ya chakula yaliyopadwa)
Sasa kilichobaki ni kuwanunua Wabunge wa chama chake hasa wenye njaa njaa na Madiwani wao ili wamchafue - kina mama waseme wananyanyaswa ki ngono na kina baba nao wasije wakajisahau wakasema hivyo hivyo maana maneno ya kukaririshwa saa nyingine unasahau sahau.
Mbowe ni Jabari.