johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,987
- 142,006
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema kwa sasa Chama chake kina vipaumbele vitatu muhimu
1. Uchaguzi wa ndani ya Chama
2. Uchaguzi wa Serikal za mitaa na Uchaguzi mkuu
3. +255 Operesheni Katiba mpya Okoa Bandari zetu
Mbowe alikuwa akilihutubia taifa huko Zanzibar kupitia Baraza la Wazee wa Chadema
1. Uchaguzi wa ndani ya Chama
2. Uchaguzi wa Serikal za mitaa na Uchaguzi mkuu
3. +255 Operesheni Katiba mpya Okoa Bandari zetu
Mbowe alikuwa akilihutubia taifa huko Zanzibar kupitia Baraza la Wazee wa Chadema