Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,600
- 19,511
Akiongea baada ya wabunge wa chadema kutoka nje alisema Rais wetu mpendwa "Mtatoka mtaenda mtarudi kwani mimi ndio Rais wenu hamna mwingine wa kumpelekea matatizo yenu ila ni mimi" alisema Rais kikwete. je kwa chama cha demokrasia na maendeleo kuunda kamati ndogo ili kwenda kumuona Rais kikwete je kwanza wamemtambua? je wataacha mchezo wao wa kitoto kutoka bungeni Rais anapohutubia utakoma? je watakubali maneno ya Rais kuwa mtakwenda mtarudi Rais wenu ni mimi?
habri hiyo wewe umeitoa wapi?