Bora tuvijue hivyo vituo tozoAwamu ya kwanza ya Vituo vya Afya 90 kati ya 207 katika Tarafa zisizo na Vituo vya Afya, ambazo zimepokea fedha Mil. 250 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la kuhudumia wagonjwa wa nje (OPD), Jengo la Maabara na Kichomea Taka hii hapa. View attachment 1901510View attachment 1901511
Tutawabana wakurugenzi+Takukuru na CAGkwamba watatoa hizi statstics miaka yote ambako tozo zitakatwa? mbona kama ni jambo mnafanya ili kutubrain wash tuone muyafanyayo yana mantiki
🤣 🤣 🤣Awamu ya kwanza ya Vituo vya Afya 90 kati ya 207 katika Tarafa zisizo na Vituo vya Afya, ambazo zimepokea fedha Mil. 250 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la kuhudumia wagonjwa wa nje (OPD), Jengo la Maabara na Kichomea Taka hii hapa.
View attachment 1901510View attachment 1901511
Watu waanze kulipana posho kwenda kusimamiaSerikali kupitia TAMISEMI imetoa Orodha ya tarafa 90 zitakazopokea fedha awamu ya kwanza katika ujenzi wa Vituo vya afya. Matokeo ya tozo mbalimbali yameanza kuonekana na kushikika maana wadau wengi waliomba Orodha ya hivyo vituo. TUJIPONGEZE TUKITHUBUTU TUTAFIKA
Hakuna vifaa na staffTatizo hayo ni makaratasi
Implementation ndio tatizo....
Mi pia nimependa bora tu wakate.Hapa sawa.... wakate tu. Ila pia ni vyema tukapewa mrejesho tuvione vituo hivo vikiwa vinaendelea kujengwa au kuwa na taarifa za kukamilika kwake. Na kamwe sitolalamika...
Go Mama
RIP our Father JPM