Alwatan kamba
Member
- Nov 16, 2020
- 70
- 236
- Thread starter
- #41
Nafuatilia haki na usawa kwenye ajira,sifuatilii mtu. Huu ni uchunguzi wa kubaini madudu naufanya jina kwa jina, page kwa page kwahiyo Kama na wewe ni miongoni mwa waliopata ajira kimagumashi jiandae zamu yako ikifika nitakuweka hadharani.Acha roho mbaya, huo unaofanya ni zaidi ya ushetani, akipata ajira wewe unaumia nini? na kwa nini umfuatilie mtu mmoja tu?