Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,618
Mzee wa Propaganda ndani ya CCM
Hii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
Mzee wa Propaganda ndani ya CCM
Hii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
kachafuliwa kwa vipi wewe wakala?.
Muosha uoshwa.
Mwana kijiji amekuwa akiwashambulia sana wana jf kwa majina tofauti humu ndani.
wacha na yeye achafuliwe.
Hii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
Hawa waoni wao sexy. Wanaona pesa zao za kifisadi sexy. Haven't you heard of money being attractive?
teh teh iko sexiiii kwa minjuluku ya ufisadi inayowamwagia mademu,na unene mzee si unajua mifisadi kadri inavyoiba ndivyo invyoongezea kujichana vyuku na bia mpaka ipasukeHii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
.
Muosha uoshwa.
Mwana kijiji amekuwa akiwashambulia sana wana jf kwa majina tofauti humu ndani.
wacha na yeye achafuliwe.
I guess so. Ila njaa kitu kingine aisee. Hebu fikiria lijitu kama Komba bila shati....OMG!
Who is Tambwe Hiza?
HAHAHAHAH!anakuwa na wrinkles za kufa mtu!bonge la tumbo,hahahahah!ukiwaleta 6 by 6,mshindo mmoja tu CHALI!MBONJI MPAKA ASUBUHI!I guess so. Ila njaa kitu kingine aisee. Hebu fikiria lijitu kama Komba bila shati....OMG!
Mamluki fulani hivi, aliyenunuliwa na Yussuf Makamba kutoka CUF. Anajitahidi kulinda "mkate wake na siagi" kwa hoja "ovyo ovyo" tu.Who is Tambwe Hiza?
naona mzee unalia na bandari!watakusikia tu!vipi hauhitaji ''ka-nzi?''hahahahah!mimi nipo tz na hii kazi naiweza sana,hasa ukinipa kazi ya kuangalia ufisadi katika ugavi na zabuni!i know ins-and outswrong move on TAMBWE HIZA na CCM
Rule number 1: You dont pick a fight you cant win na hii ya kupick a fight na Mwanakijiji sidhani kama watamweza kwani mwenzao muda wa kujibizana na supporting data anazo..wao wameamua kumpeleka Tambwe kukabiliana naye duh!
Another wrong move ni kumpa platform MKJJ kujibu hoja sasa sijui kama watakuwa wamejiandaa na hiyo mi dossier aliyonayo
hawa jamaa wamekuwa kama headless chiken wapo wapo tuu.
Badala ya kutuambia lini wataongeza ufanisi bandarini wao wanatafuta watu wa kutukanana nao
tyatakayo wakuta saizi yao..asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Malaya (ashakum si matusi) fulani hivi wa kisiasa.
naona mzee unalia na bandari!watakusikia tu!vipi hauhitaji ''ka-nzi?''hahahahah!mimi nipo tz na hii kazi naiweza sana,hasa ukinipa kazi ya kuangalia ufisadi katika ugavi na zabuni!i know ins-and outs
Badala ya kutuambia lini wataongeza ufanisi bandarini wao wanatafuta watu wa kutukanana nao
Nadhani picha peke yake zitakuwa hazikutoshelezi,Who is Tambwe Hiza?
Mamluki fulani hivi, aliyenunuliwa na Yussuf Makamba kutoka CUF. Anajitahidi kulinda "mkate wake na siagi" kwa hoja "ovyo ovyo" tu.
Hata kuweka AC kwenye Arrivals pale uwanja wa ndege wameshindwa! Utadhani uko kwenye warehouse!