Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
sexy ni pesa......Hii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
sexy ni pesa......Hii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
unajitahidi kidogo,tell me weight yako in kgs now!naona unajitahidi walau............
hahahah!nakuaminia.mimi nina kama 94 sasa.ni mtu wa gym sana na kikapu pia nimecheza sana wakati nasoma o-level!i'm a super tall,na misuli kibao.anyways pamoja sana kaka!mimi nimeshapasha na awadh-tamimo bondia huyu,pamoja na japhet kaseba kwenye centre fulani hapa dar!Babu niko fit. 205lbs ambayo kwa kilo ni kama kilo 90 na kitu kama sijakosea. Ila ni all muscle. Hakuna minyama ya uzembe hapa.
hahahah!nakuaminia.mimi nina kama 94 sasa.ni mtu wa gym sana na kikapu pia nimecheza sana wakati nasoma o-level!i'm a super tall,na misuli kibao.anyways pamoja sana kaka!mimi nimeshapasha na awadh-tamimo bondia huyu,pamoja na japhet kaseba kwenye centre fulani hapa dar!
tutaongea basi!............
Hii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
Unajua mambo ya fitness Tanzania hayako kama yalivyo Nyamwezi aisee. Bush alikuwa anapiga chuma mwenzenu. Hata Obama naye anapasha vile vile.
Kwa ujumla wabongo wengi mambo ya fitness yamewakalia kushoto. Wakikuona mtu unapiga chuma wanaanza kukuita eti baunsa. Hawajui hata nini maana ya neno "bouncer". Ovyo kabisa.
MWANAKIJIJI
this is a clear call kwamba ushow up ili wakubambe. Ila dont do that by any sake maana hawa jamaa watakuja na kila falsafa wakuone tu sura yako.
Unajua hawa ccm wako feki sana inabidi kufunga na kuomba mafisadi wote watolewe ktk chama
I guess so. Ila njaa kitu kingine aisee. Hebu fikiria lijitu kama Komba bila shati....OMG!
Hata kuweka AC kwenye Arrivals pale uwanja wa ndege wameshindwa! Utadhani uko kwenye warehouse!
Dubya yuko fiti, Obama naye yuko fiti si unaona mara kwa mara anashoot hoops na marines. Bongo ukiwa na mtumbo kama fuko la rambo si ndio unaonekana una mapesa.
Nasikia Bush alikuwa ana push two 45lb. plates on each side which equals 225 lbs.! That's impressive for his age. Kikwete hata 45lbs moja kila upande nina shaka kama anaweza hata kuitoa kwenye bench
.
Muosha uoshwa.
Mwana kijiji amekuwa akiwashambulia sana wana jf kwa majina tofauti humu ndani.
wacha na yeye achafuliwe.
unajua JK akiingia humu hucheka sana
mnajua namna ya kukoga nyoyo za watu
.
Muosha uoshwa.
Mwana kijiji amekuwa akiwashambulia sana wana jf kwa majina tofauti humu ndani.
wacha na yeye achafuliwe.