Tambaza Taifa Kubwa!!

Tambaza Taifa Kubwa!!

Zile enzi kama umesoma tambaza halafu hujawahi kuvuta bangi basi wewe ni wakuja
 
Zile enzi kama umesoma tambaza halafu hujawahi kuvuta bangi basi wewe ni wakuja

Labda kwa ilivyokuwa O’ level lakini baada ya kuwa A ‘level tu na kuwa Co’ school mambo hayo sizani kama yalikuwepo!
Nidhamu ilirejea kwa upya!

Tambaza ilikuwa Shule ya ndoto yangu na ndoto ikatimia Utukufu kwa Bwana Mungu!

Nilikuwa navutiwa na zile uniforms zao, dark grey, soksi nyeusi ilikuwa tamu sana!

Sema baadae zikachakachuliwa rangi ikawa siyo hiyo tena ikaanza kufanana na kambangwa !

Namkumbuka Mwalimu Kaaya Head Master, Naomi Kaiyula , Millinga , Cosmas etc
 
Back
Top Bottom