chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
kuhusu Kilimanjaro sipingani na ww mkuu,sahihi kabisaaa!Yeah
kuhusu Kilimanjaro sipingani na ww mkuu,sahihi kabisaaa!Yeah
Kilimanjaro??
Rejea wimbo wa mpelekee moto ndio moto huo sasa unaozungumziwaKukimbiza moto gan
Data zako hazijakamilika kama haziwezi kuwa na wasafwa, wafipa, na wanyantuzu wa gamboshi!Hizi ni takwimu halisi kutoka kwa wasimamizi wa vilinge Tanzania..hazijatengenezwa kwa madhumuni ya kukarahisha, kufurahisa ama kubeza jamii fulani toka upande fulani wa nchi yetu
Takwimu hizi zimegawanywa katika makundi yafuatayo
A. Mikoa inayoongoza kwa wachawi WAKUBWA...Zingatia neno wakubwa..
B. Mikoa inayoongoza kwa wachawi WENGI... Zingatia neno wengi..
C. Mikoa inayosifika kwa ushirikina..! Yaani yenye harakati nyingi za kishirikina(uchawi,ulozi, uganga wa kienyeji, kuwanga, matambiko, makafara nk)
D. Wateja wakubwa wa ushirikina.. Zingatia neno ushirikina
E. Mazindiko ya Tanzania kishirikina...
A. Mikoa inayoongoza kwa wachawi wakubwa ni
1. Tanga
2. Lindi
3. Dar es salaam
4. Mtwara
5. Ta bora
6. Kigoma
7. Mwanza
B. Mikoa yenye wachawi wengi(sio wakubwa! Wengi)
1. Sumbawanga/Rules
2. Ruvuma
3. Mbeya
4.Singida
C. Mikoa inayosifika kwa ushirikina
1. Kilimanjaro
2. Morogoro
3. Kagera
4. Pwani
D. Wateja wakubwa wa ushirikina
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Wanasiasa
4. Wamama wa nyumbani
5. Wanafunzi
E. Mazindiko ya Tanzania
1. Zindiko la Lindi (Zindiko kubwa)
2. Zindiko la Bagamoyo (zindiko la kukimbiza moto)
Huu ndio msingi wa takwimu za ushirikina Tanzania.. Zingatia neno Msingi... Kwahiyo kuna vingine havikuwekwa hapa kama michezo hasa kabumbu na kaliba nyingine kama uvuvi, uwindaji nk
Ndo maana nchi hii pamoja na rasilimali lukuki maendeleo ni mwendo wa kobe, kumbe imejengwa kwenye misingi ya mazindiko ya nguvu za giza.......ee Mwenyezi Mungu tuondolee hii laana iliyowekwa na watangulizi waloweka misingi ya taifa hili, Amen..
Nigeria siyo mafundi wa shughuli, wao ni matapeli tu.Hadi Nigeria tumewazidi?
Kweli maskini lake tunguri
Zinapatikana wapi number yako mkuuSana tu mbona lakini anafanya hivyo kwa kutumwa na mtu wako wa karibu.. Tiba zipo
Zipo sana hizi huko vijijini mnakutana na mzee barabarani mkiwa na gari anawaomba lift mnampita mkifika muendako mnamkuta ama kila mara gari inapata hitilafu na anawapitaMshana Jr Jana nimesoma post moja humu ya opereshen ugaid mkulanga.kuna sehemu WANASEMA walipewa mganga kwenye Ile misheni... Jamaa anasema kwa Mara ya kwanza alishindwa kuamini kuona mganga aligoma kupanda gari yao na akawaambia eti wao watangulie ataeakuta mbele Cha ajabu.mganga aliwah kufika kabla ya WENYE gari... Na wenyeji wakasema alikuwepo pale tangu asubuhi