Ili mume asihangaike na wanawake wengine na pesa zote azi manage yeye.Wamama wa nyumbani wanaloga nini sasa?? Kazi zao si kupika na kudeki na kufagia uwanja??
Masheikh nao si wachawi tu....wanatumia vitabu (Qur'an).Kua sheikh mmoja nilikua namsikiliza, alitaja hizi hizi takwimu