dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,409
- 15,994
Nimepokea ripoti kutoka kwa naibu mkurugenzi mkuu wa radio safina fm mam Hellen lema kuwa Tanzania Ni nchi ya pili kwa ushirikina duniani baada ya Cameroon kuongoza kwa kushika nambari moja dunia Kisha Tanzania ikafata kwa ushirikina .
Aliendelea kwa kusema kuwa mikoa inayo ongoza kwa ushirikina na vitendo vya uchawi Ni Kama ifuatavyo
1. Shinyanga
2. Rukwa
3.Mtwara
4.Tabora
5.Tanga
6.katavi
7.songwe
8.Mbeya
9.dodoma
10 .mwanza
Awali mm binafsi nilikuwa naamini kuwa Nigeria ndio kinara wa uchawi na ushirikina ikifatwa na Kongo . Cameroon ,Ghana ,Lkn ajabu Cameron ndio kinara na Tanzania tunashika nafsi ya pili kwa ushirikina duniani ..je Kuna ukweli kwamba hili taifa vitendo vya ulozi Ni vingi Kia's hiki ?
Kama mkoaa wako haujatajwa hapa hongera San na Kama mkoa wako umetajwa kwa tafiti hizi pole sna na pamban na maombi sna .
Namuomba mlozi mwandamiz mstaafu bwana Mshana Jr kudhibitisha hoja hii Kam Ni kweli ...
Aliendelea kwa kusema kuwa mikoa inayo ongoza kwa ushirikina na vitendo vya uchawi Ni Kama ifuatavyo
1. Shinyanga
2. Rukwa
3.Mtwara
4.Tabora
5.Tanga
6.katavi
7.songwe
8.Mbeya
9.dodoma
10 .mwanza
Awali mm binafsi nilikuwa naamini kuwa Nigeria ndio kinara wa uchawi na ushirikina ikifatwa na Kongo . Cameroon ,Ghana ,Lkn ajabu Cameron ndio kinara na Tanzania tunashika nafsi ya pili kwa ushirikina duniani ..je Kuna ukweli kwamba hili taifa vitendo vya ulozi Ni vingi Kia's hiki ?
Kama mkoaa wako haujatajwa hapa hongera San na Kama mkoa wako umetajwa kwa tafiti hizi pole sna na pamban na maombi sna .
Namuomba mlozi mwandamiz mstaafu bwana Mshana Jr kudhibitisha hoja hii Kam Ni kweli ...