Takwimu za ushirikina Tanzania

Zipo sana hizi huko vijijini mnakutana na mzee barabarani mkiwa na gari anawaomba lift mnampita mkifika muendako mnamkuta ama kila mara gari inapata hitilafu na anawapita
Na bado hatuna maji na umeme vijijini WANAFELI WAPI na hiyo ELIMU
 
Mkuu Mshana!Ninataka sana kuyajua mazindiko matatu ya nchi ukiondoa hili la mwenge.Kama kuna namna yoyote unafahamu naomba unijuze.Asante.
 
Hizi ni takwimu halisi kutoka kwa wasimamizi wa vilinge Tanzania..hazijatengenezwa kwa madhumuni ya kukarahisha, kufurahisa ama kubeza jamii fulani toka upande fulani wa nchi yetu

Takwimu hizi zimegawanywa katika makundi yafuatayo
A. Mikoa inayoongoza kwa wachawi WAKUBWA...Zingatia neno wakubwa..
B. Mikoa inayoongoza kwa wachawi WENGI... Zingatia neno wengi..
C. Mikoa inayosifika kwa ushirikina..! Yaani yenye harakati nyingi za kishirikina(uchawi,ulozi, uganga wa kienyeji, kuwanga, matambiko, makafara nk)
D. Wateja wakubwa wa ushirikina.. Zingatia neno ushirikina
E. Mazindiko ya Tanzania kishirikina...

A. Mikoa inayoongoza kwa wachawi wakubwa ni
1. Tanga
2. Lindi
3. Dar es salaam
4. Mtwara
5. Ta bora
6. Kigoma
7. Mwanza

B. Mikoa yenye wachawi wengi(sio wakubwa! Wengi)
1. Sumbawanga/Rules
2. Ruvuma
3. Mbeya
4.Singida

C. Mikoa inayosifika kwa ushirikina
1. Kilimanjaro
2. Morogoro
3. Kagera
4. Pwani

D. Wateja wakubwa wa ushirikina
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Wanasiasa
4. Wamama wa nyumbani
5. Wanafunzi

E. Mazindiko ya Tanzania
1. Zindiko la Lindi (Zindiko kubwa)
2. Zindiko la Bagamoyo (zindiko la kukimbiza moto)

Huu ndio msingi wa takwimu za ushirikina Tanzania.. Zingatia neno Msingi... Kwahiyo kuna vingine havikuwekwa hapa kama michezo hasa kabumbu na kaliba nyingine kama uvuvi, uwindaji nk
Kwenye wachawi wakubwa mikoa wa Rukwa, Katavi ,Shinyanga,Simiyu na Geita kukosekana kunaipa walakini list yako.

Pia Dar imeingiaje humo mbona sielewi?
 
Nimekutana na hii:

Pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa,
Kama ulikua hujui wazee was dar es salaam wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema.
Hebu Jiulize, mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa Bukoba ama wa Arusha jambo la kitaifa?
Jibu, ni kwamba kikao kile ni Zindiko la Bagamoyo linafanya kazi.

Safu iliyoagizwa kufanya zindiko ilikuwa ya watu watano(5) ambao ni;-

1: Forojo Ganze mwenyewe,
2: Mzee Ramadhan, aliye zaliwa mwaka 1920,
3: Ally Tarazo, aliye zaliwa mwaka 1929,
4: Komwe wa Komwe, aliye zaliwa mwaka 1918 na
5: Shekhe Yahya Hussein, aliye zaliwa mwaka 1925.
 
Back
Top Bottom